Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mathalani fikiria hii situation umeajiriwa mahali ila boss wako machoni anacheka na wewe fresh kabisa na hakuonyeshi ubaya wowote ule ila under carpet anakusnichi. Fikiria mazingira yafuatayo.
1. Hakupendekezi kwenye Jambo lolote lenye maslahi na akikupendekeza anakupa vitu vidogovidogo sana visivyoendana na elimu uzoefu na seniority yako.
2. Ikitokea umepata barua flani yenye jambo lenye maslahi anaiblock juu kwa juu ili isikufikie tena anakoment vibaya juu yako ili waliokupenekeza wa terminate uamuzi wao.
3. Taarifa za wewe kusnichiwa unazipata kutoka kwenye verified source mathalani unapigiwa simu MBONA HUJAJA KWENYE SEMINA NA TUMEONA JINA LAKO? unabaki kutoa macho seminaaaa😯😯🤔🤔🤔
4. Ila anakuchekea vizuri Sana na kukiwa na Jambo lisilo na maslahi wewe ndio chaguo lake mfano kusuluhisha migogoro mahali pa kazi.
Hebu tupeane uzoefu kama ni wewe unafanyaje? Unaishi vipi na boss kama huyu?
Uzoefu hapa nawategemea walimu zaidi maana hawa ndio nawasikia mara nyingi wakilalamika kutokupewa kazi kama za marking na usimamizi wa mitihani isipokuwa wakuu huwa wanawatu wao spesho.
1. Hakupendekezi kwenye Jambo lolote lenye maslahi na akikupendekeza anakupa vitu vidogovidogo sana visivyoendana na elimu uzoefu na seniority yako.
2. Ikitokea umepata barua flani yenye jambo lenye maslahi anaiblock juu kwa juu ili isikufikie tena anakoment vibaya juu yako ili waliokupenekeza wa terminate uamuzi wao.
3. Taarifa za wewe kusnichiwa unazipata kutoka kwenye verified source mathalani unapigiwa simu MBONA HUJAJA KWENYE SEMINA NA TUMEONA JINA LAKO? unabaki kutoa macho seminaaaa😯😯🤔🤔🤔
4. Ila anakuchekea vizuri Sana na kukiwa na Jambo lisilo na maslahi wewe ndio chaguo lake mfano kusuluhisha migogoro mahali pa kazi.
Hebu tupeane uzoefu kama ni wewe unafanyaje? Unaishi vipi na boss kama huyu?
Uzoefu hapa nawategemea walimu zaidi maana hawa ndio nawasikia mara nyingi wakilalamika kutokupewa kazi kama za marking na usimamizi wa mitihani isipokuwa wakuu huwa wanawatu wao spesho.