careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Aah wap dawa ya moto ni moto zama za hewala mkuu zimepitwa na wakat..Kuwa mnyenyekevu tu na kila atakachokufanyia sema asante bosi, mpaka yeye mwenyewe siku atajistukia na kusema huyu mtu namuonyesha roho mbaya ila yeye haoneshi kujali why?
Umenipa kitu kipya nitafanya research kukipruvu shida walimu wenyewe ni waoga sana yani mwalimu anaanza kumuogopaNilishaona maelezo yamekaa kiualimu alimu hata kabla hujataja walimu huko chini.
Ebwana hii kitu ipo sana ila walimu huwa tunachanana makavu tu na ndiyo sababu ya maana na faida ya kuwa na vikao vya kila wiki shuleni.
Pia kuna baadhi wanasolve kivingine na wengine wanakaushia kabisa kama hakuna kinachoendelea vile.
Kwa mfano wengine wanafanya the best kwenye kazi zao mpaka yule boss anajishtukia, basi mwenyewe anaanza kujirudi. Kwa mfano hiyo ishu uliyosema hapo kusukumiwa kwenye kazi za moyo (kujitolea zaidi) basi unakuta jamaa anajitutumua balaa.
Wengine anajali yale ya lazima tu (yaliyomuweka hapo) na mengine yote anapuuzia hata ofa na mavitu zingine anakataa zinapomjia chances. Mbinu hii wanatumia wenye kujiwezaweza kuonesha kwamba hategemei promotions zao.
Wengine nao wanaact kinyume chake yaani mfano boss anamsnichi yeye ndo kwanza anamtetea inapotokea boss amebananishwa. Mfano ishu ya wageni (ugeni wa kikazi shuleni) huwa walimu wa aina hii (watengwa) ndo wanaookoaga sana jahazi.
Mkuu hii mada ni sahihi kabisa. Lakini hata unjinyenyekeze vipi, they never change! I'm sure kunakuwa na kitu kama "majeshi ya roho waovu"Kuwa mnyenyekevu tu na kila atakachokufanyia sema asante bosi, mpaka yeye mwenyewe siku atajistukia na kusema huyu mtu namuonyesha roho mbaya ila yeye haoneshi kujali why?
Mahali penu pa kazi hamna kitu inaitwa feedback and complaints mechanism? Mlipoti huko ili kuwe public hearing! Vinginevyo mchane live!Mathalani fikiria hii situation umeajiriwa mahali ila boss wako machoni anacheka na wewe fresh kabisa na hakuonyeshi ubaya wowote ule ila under carpet anakusnichi. Fikiria mazingira yafuatayo.
1. Hakupendekezi kwenye Jambo lolote lenye maslahi na akikupendekeza anakupa vitu vidogovidogo sana visivyoendana na elimu uzoefu na seniority yako.
2. Ikitokea umepata barua flani yenye jambo lenye maslahi anaiblock juu kwa juu ili isikufikie tena anakoment vibaya juu yako ili waliokupenekeza wa terminate uamuzi wao.
3. Taarifa za wewe kusnichiwa unazipata kutoka kwenye verified source mathalani unapigiwa simu MBONA HUJAJA KWENYE SEMINA NA TUMEONA JINA LAKO? unabaki kutoa macho seminaaaa😯😯🤔🤔🤔
4. Ila anakuchekea vizuri Sana na kukiwa na Jambo lisilo na maslahi wewe ndio chaguo lake mfano kusuluhisha migogoro mahali pa kazi.
Hebu tupeane uzoefu kama ni wewe unafanyaje? Unaishi vipi na boss kama huyu?
Uzoefu hapa nawategemea walimu zaidi maana hawa ndio nawasikia mara nyingi wakilalamika kutokupewa kazi kama za marking na usimamizi wa mitihani isipokuwa wakuu huwa wanawatu wao spesho.
Mara nyingi wote hao wanakuwa wamoja! Ukifanya hivyo ndio unazidi kuharibu mambo, watamwambia!Mahali penu pa kazi hamna kitu inaitwa feedback and complaints mechanism? Mlipoti huko ili kuwe public hearing! Vinginevyo mchane live!
Labda kwa mashirika haya ya Kiswahili, lakini kama ni haya ya wenzetu (international) huwa wako serious sana na hiyo kitu! Tena wanapenda inapigwa whistleblower ya nguvu! Maana hicho anachofanyiwa hakina tofauti na abuse and harassment mahali pa kazi!Mara nyingi wote hao wanakuwa wamoja! Ukifanya hivyo ndio unazidi kuharibu mambo, watamwambia!
Ndio, mada hii ni kwa mashirika ya Kiswahili (hasa "su")Labda kwa mashirika haya ya Kiswahili, lakini kama ni haya ya wenzetu (international) huwa wako serious sana na hiyo kitu! Tena wanapenda inapigwa whistleblower ya nguvu! Maana hicho anachofanyiwa hakina tofauti na abuse and harassment mahali pa kazi!
Duh,, hii kitu serikalini imewashinda kabisa! Rushwa za ngono ndio hawajali kabisa, sexual abuse iko kwa kiwango cha juu kabisa!Ndio, mada hii ni kwa mashirika ya Kiswahili (hasa "su")