Unafanyaje?

Unafanyaje?

I thought kama mama ameamua kuzaa bila kuwa na yule aliyezaa naye kwanza, basi atachagua mbegu anayoiona ni bora. Ila kama baba hatataka kujihusisha na mtoto hapo itakuwaje? Halafu mtoto wa kwanza utamuelezaje juu ya baba wa mtoto wa pili kama akileta udadisi?
 
Haaahaaaa! Mtoto ni mtoto tu! Ila hiyo ya wa nje na ndani wakoje imeeka vizuri. Well, it all depends na mtu anataka nini!

Hah Ndahani huyu Fazaa ameamua kunishughulisha akili yangu hii ya kizee!
 
Aksante kwa ufafanuzi. Nisamehe akili yangu nzito. Sasa nimeelewa. So hata wa kuasili atakuwa katika kundi la wa nje si ndio?
Wewe mbona hufahamiki hivi unaongea kiswahili cha mlimani au bondeni wewe.

Kama unataka kupachikwa mimba sema tu usione haya....inawezekana jamaa hana sperm inabidi tumsaidie, wengine stock tunazo zakutosha.
 
Hah Ndahani huyu Fazaa ameamua kunishughulisha akili yangu hii ya kizee!

Pengine anafikiria haya mambo ya mahusiano ni kama rocket science. Kumbe ni mambo ya interest tu na maamuzi yake yanaweza kufanyika chini ya dakika kumi yakaleta yale yaliyotarajiwa, bila kusukumwa na Valour au Konyagi,lol!
 
Wewe mbona hufahamiki hivi unaongea kiswahili cha mlimani au bondeni wewe.

Kama unataka kupachikwa mimba sema tu usione haya....inawezekana jamaa hana sperm inabidi tumsaidie, wengine stock tunazo zakutosha.

Samahani.
 
I thought kama mama ameamua kuzaa bila kuwa na yule aliyezaa naye kwanza, basi atachagua mbegu anayoiona ni bora. Ila kama baba hatataka kujihusisha na mtoto hapo itakuwaje? Halafu mtoto wa kwanza utamuelezaje juu ya baba wa mtoto wa pili kama akileta udadisi?

Yaani hapo ndipo ninapoona challenge inayomface mwanamke. Hata kama ataamua kuwa na mtoto wa baba mwingine yaani bado huwa ninaona kuna kaugumu flan ka kuwa na watoto wa baba tofauti. Sometimes huwa ninahisi kuwa ni afadhali kubaki na huyo huyo uliyempata bila kuongeza mwingine lakini pia naona kama unakuwa unajinyima haki yako au sijui ni vile jamii ilivyotuweka? Mwe!
 
Mbona hakuna nilipokuzuia soulmate jamani? Unajua hii imenikumbusha ile thread yako ya Mtoto wa Kike??!
Ni kwa nini inakuwa na ugumu kwa watu kukubali kuwa imeshindikana kufikia malengo walojipangia mpaka wakaamua kuchukua maamuzi ya ajabu?

...nashawishika kujibu kwamba lisilobudi hutendwa soulmate wangu...
ile thread yangu ya mtoto wa kike nilipewa changamoto nyingi sana, na mojawapo lililonigusa sana
was, nitakuwa simtendei haki mtoto wala huyo mama niliyekuwa nimemdhamiria nimzalishe binti...
kwani hiyo itakuwa kukidhi matamanio ya nafsi yangu pekee...kumbuka, nilitaka mtoto pekee, sio whole package.

...kwa mada yako hii, sijaelewa mdada kakusudia kujitegeshea kwa ex-hubby wake apate mimba nyingine,
au umekusudia nini...sijakuelewa....lakini kama lengo ni kuzaa na ex-hubby, ni powa tu...madhali hawajaachana
[wametengana tu]....kwangu mimi nadhani hiyo ina nafuu hata kwa malezi ya mtoto iwapo mama mtu atapatwa na matatizo baada ya kujifungua, nk...
 
...asee bigi gongea mim "like" na hapa!

..baada ya kuielewa sledi nimeamua kwa dhati kabisa na kutoka moyoni kwamba ningependa kuwa msomaji zaidi kwenye sledi hii...!sababu kubwa kabisa ni ukosefu wa uzoefu katika hii scenario
 
...nashawishika kujibu kwamba lisilobudi hutendwa soulmate wangu...
ile thread yangu ya mtoto wa kike nilipewa changamoto nyingi sana, na mojawapo lililonigusa sana
was, nitakuwa simtendei haki mtoto wala huyo mama niliyekuwa nimemdhamiria nimzalishe binti...
kwani hiyo itakuwa kukidhi matamanio ya nafsi yangu pekee...kumbuka, nilitaka mtoto pekee, sio whole package.

...kwa mada yako hii, sijaelewa mdada kakusudia kujitegeshea kwa ex-hubby wake apate mimba nyingine,
au umekusudia nini...sijakuelewa....lakini kama lengo ni kuzaa na ex-hubby, ni powa tu...madhali hawajaachana
[wametengana tu]....kwangu mimi nadhani hiyo ina nafuu hata kwa malezi ya mtoto iwapo mama mtu atapatwa na matatizo baada ya kujifungua, nk...

Aksante Soulmate, umenielewa vilivyo. Lengo lake ni mtoto ila kinachonishtusha kwake ni kuwa yeye hana hata mawasiliano na huyo Baba mtoto wake!!! Ila ndo amedetermine kumsaka hadi ampate. Ndo mana nikajiuliza kama ana kichaa ??

Yeah ile thread yako kulikuwa na options nyingi. Ngoja niitafute nimprintie.
 
Yaani hapo ndipo ninapoona challenge inayomface mwanamke. Hata kama ataamua kuwa na mtoto wa baba mwingine yaani bado huwa ninaona kuna kaugumu flan ka kuwa na watoto wa baba tofauti. Sometimes huwa ninahisi kuwa ni afadhali kubaki na huyo huyo uliyempata bila kuongeza mwingine lakini pia naona kama unakuwa unajinyima haki yako au sijui ni vile jamii ilivyotuweka? Mwe!

Do you think hiyo ni challenge ya mwanamke tu au hata na mtoto? Imagine a kid growing up with an idea of having an invisible father...it could be very well kama mtoto hatajari kuwa na baba. What if naye akataka kujua who fathered him or her?
Well, inaelekea the mind is made already...so tunajadiliana matokeo ya maamuzi yaliyokwisha wekwa tayari!
 
Sijui mnashangaa nini?
Mie namsapoti, amtafute baba watoto amtegeshee.
Ni karaha kila mtoto kuwa na baba ake, afu mtoto mmoja naye mawazo tupu.

I concur with her, best alternative kuliko kuzaa na njemba nyingine.
 
Sijui mnashangaa nini?
Mie namsapoti, amtafute baba watoto amtegeshee.
Ni karaha kila mtoto kuwa na baba ake, afu mtoto mmoja naye mawazo tupu.

I concur with her, best alternative kuliko kuzaa na njemba nyingine.

Yaani Kongosho ingekuwa vije kweli ningehisi wewe ni yeye!! hii ndio sababu kubwa alokuwa anaitoa. Ah!
 
Do you think hiyo ni challenge ya mwanamke tu au hata na mtoto? Imagine a kid growing up with an idea of having an invisible father...it could be very well kama mtoto hatajari kuwa na baba. What if naye akataka kujua who fathered him or her?
Well, inaelekea the mind is made already...so tunajadiliana matokeo ya maamuzi yaliyokwisha wekwa tayari!

Kumbe! mie nilikuwa ninauzungumzia upande niliopo Ndahani. With all the kelele za wazazi kutaka wajukuu. Sasa anapokuwa kwenye situation yenye utata inamuwia ngumu nafikiri tofauti na mwanaume ambaye nahisi ni rahisi kuleta mjukuu toka pande yoyote akakubalika! au nakosea?
 
Aksante Soulmate, umenielewa vilivyo. Lengo lake ni mtoto ila kinachonishtusha kwake ni kuwa yeye hana hata mawasiliano na huyo Baba mtoto wake!!! Ila ndo amedetermine kumsaka hadi ampate. Ndo mana nikajiuliza kama ana kichaa ??

Yeah ile thread yako kulikuwa na options nyingi. Ngoja niitafute nimprintie.

...kwa uzoefu wangu, women are so good in this,....kwakuwa mwenyewe anaujua mzunguko wake, njemba anatafutwa siku za peak ovulation,....between day 12th, 13th na 14th....ex-spouse anapewa penzi zito sana...day 16th, 17th na kuendelea unaanza kuhesabu "the number you are calling is not reachable!"...

...hapo ukute mke kapata booster toka kwa Dr Shafiq,....mtoto atatungwa utake usitake
 
...kwa uzoefu wangu, womwen are soo good in this,....kwakuwa mwenyewe anaujua mzunguko wake, njemba anatafutwa siku za peak ovulation,....between day 12th, 13th na 14th....ex-spouse anapewa penzi zito sana...day 16th, 17th na kuendelea unaanza kuhesabu "the number you are calling is not reachable!"...

...hapo ukute mke kapata booster toka kwa Dr Shafiq,....mtoto atatungwa utake usitake

...........Hahahahhah halafu akishapata akitakacho penzi linakufa?! ah mahusiano magumu jamani kwa sie wenye chuki na vinyongo ambao tukishageuza shingo hata smile inakuwa tabu sijui tutaanzaje kuchojoa!! mwe
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Yaani huu mjadala bado unaniacha hoi,

Hivi mwanamke au mwanamume kama kakosa mwenza kwa sababu zozote zile, hawezi kukaa hivyo?

Kinachonishangaza ni kwamba huyo tayari anaye mtoto mmoja...anatafuta nini cha ziada?

Kwa sie wanaume tulivyo kama mafisi...her wish is granted with no hesitation...Ila ajiandae jamaa naye anaweza kuja na ombi la mtoto wa tatu..atakuwa tayari??

Babu DC!!
 
hakuna kitu kigumu kama kuzaa watoto na baba tofauti.
Watoto wako watakujaji sana baadae kwamba ulikuwa kicheche bila kujua mazingira yalokusibu.

Mie nimeona lecturer mmoja alikuwa na binti 2 na mvulama 1 kila mmoja na baba ake.
Huyo binti mkubwa alikuwa anaionea aibu sana hiyo hali ya wao kuwa na baba tofauti hadi akawa anasema kwa watu. Ni kama alikuwa anamlaumu mama yao, but yule mama wala ukisikia historia yake wala hakuwa kicheche ki hivyo.

Halafu tena kama watoto wa kiume huwa ni selfish sana kwa mama zao, hatakaa kwa amani.

Amtafute tu yule wa zamani hata kama wameachana miaka kumi, sema risk ya magonjwa ndo huwa tatizo hapa.

Yaani Kongosho ingekuwa vije kweli ningehisi wewe ni yeye!! hii ndio sababu kubwa alokuwa anaitoa. Ah!
 
Back
Top Bottom