...........Hahahahhah halafu akishapata akitakacho penzi linakufa?! ah mahusiano magumu jamani kwa sie wenye chuki na vinyongo ambao tukishageuza shingo hata smile inakuwa tabu sijui tutaanzaje kuchojoa!! mwe
Kumbe! mie nilikuwa ninauzungumzia upande niliopo Ndahani. With all the kelele za wazazi kutaka wajukuu. Sasa anapokuwa kwenye situation yenye utata inamuwia ngumu nafikiri tofauti na mwanaume ambaye nahisi ni rahisi kuleta mjukuu toka pande yoyote akakubalika! au nakosea?
Yaani huu mjadala bado unaniacha hoi,
Hivi mwanamke au mwanamume kama kakosa mwenza kwa sababu zozote zile, hawezi kukaa hivyo?
Kinachonishangaza ni kwamba huyo tayari anaye mtoto mmoja...anatafuta nini cha ziada?
Kwa sie wanaume tulivyo kama mafisi...her wish is granted with no hesitation...Ila ajiandae jamaa naye anaweza kuja na ombi la mtoto wa tatu..atakuwa tayari??
Babu DC!!
Yaani huu mjadala bado unaniacha hoi,
Hivi mwanamke au mwanamume kama kakosa mwenza kwa sababu zozote zile, hawezi kukaa hivyo?
Kinachonishangaza ni kwamba huyo tayari anaye mtoto mmoja...anatafuta nini cha ziada?
Kwa sie wanaume tulivyo kama mafisi...her wish is granted with no hesitation...Ila ajiandae jamaa naye anaweza kuja na ombi la mtoto wa tatu..atakuwa tayari??
Babu DC!!
...wanawake wengi mtoto mmoja, hasa akiwa wa kiume anajiona bado hajamaliza...
...LOL...usingekuwa wangu ningekufundisha! ...kama kusindikiza kuku bandani mchana kweupee!
mnhhh.... i see where this thread is heading,... why did i get married?
mnhhh.... i see where this thread is heading,... why did i get married?
Kwanini asitulie alee huyo aliyenae mpaka atakapotokea mtu wa kueleweka?
Angekua hana kabisa ningeelewa mchecheto unapotokea. . . ila kwasababu anae mmoja angetulia nae ampe hayo mapenzi yote anayotamani kumpa mtoto mpya mpaka atakapokua kwenye position ambayo hana haja ya kutafuta mtu wa kuzaa nae, ila anaamua tu iwe lini.
worry you not soulmate...sie twahitaji retreat nyingine na konyagi on rocks tu...lol...Hahahahha Soulmate usinbanie bana...............nawezaihitaji for future use kwako ......you never know
Tuko pamoja kabisa Teamo si haki kabisa but hata kwa huyo mume (sijui huko aliko kama ameoa au la) ila kama ameoa huyu dada anachotakiwa ni ku-seek devorce ili naye awe huru ingawa ninachohisi kinachomuumiza ni hayo aloyaandika kongosho!!aseeee!...
faaza hapo juu punguza ukali wa maneno aseee!...
mbu ninajaribu kuielewa point yako..lakin nawaza zaidi naona kama kuna mtu atakuwa "mbinafsi na mwenye kujijali sana" iwapo tu mwanaume ambaye huenda kwa huyo dada alikuwa ni "eksi" au wereva akawa tayari ameoa na ana ndoa yake...i mean hata wewe mj1 jaribu kuvaa uhalisia wa mazingira ya mumeo kuzaa nje ya ndoa kwa mara ya pili "at your expense"..sijui lakin...
...hahahaha, kamandaaaa....relax bana, vipi snow tayari huko....?
...Lizzy, assume huyo mdada'ke mwj1 ana 35yrs+....au unataka aje kuzaa mongoloids?
................... Babu DC nafikiri ni ile hali ya ubinadamu jamani au? na jamii pia ilishatuaminisha kuwa ndoa ni watoto ukikosa watasema, ukipata mmoja, watadai hatoshi yaani ndoa yako lakini masharti unapangiwa na wengine ah.
worry you not soulmate...sie twahitaji retreat nyingine na konyagi on rocks tu...lol...
usisome kwa sauti watu wakasikia.
surprisingly it is 14 centigrade, some sun shinning and a good beer watching arsenal being bent!!!