Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

Unanuka mdomo, unakuna kama beberu, husafishi maskio, hutumii hata lotion, pafyum, , in short huna mvuto, lazma arke na watorto wa mjini wanaopaka scrub, etc
Kama mume wako ananuka mdomo, anakuna kama beberu, hasafishi masikio, hatumii hata lotion, pafyum, in short hana mvuto, kiasi cha kukulazimu ukae na watorto wa mjini wanaopaka scrub, etc ni dhahidi mke naye ana tatizo kubwa.

Huwezi kuwa una akili sawasawa halafu mumeo uliyeapa kuishi naye katika shida na raha akawa kama hivo ulivyoelezea, lazima utakuwa aidha dishi limeyumba au mnara ni wa voda lakini network yako inasoma tigo.

Ndoa sio jambo la mzaha mzaha, unapoamua kuingia katika ndoa hakikisha utoto umeuacha na ujana umeumaliza
 
Nampoteza wapi sasa mwanaume amuheshimu nini unataka afanye dawa ya moto ni moto isilotaka fanyiwa ww usije ukamfanyia mwenzako uyo jamaa kamumiza uyo mwanamke dawa ya yy kupona majeraha yake ni kuwa kiburi tuuu mwisho wa siku jamaa atakaa sawa tuu ila akimchekea uyo jamaa atamuumiza sana kwa mawazo na anaweza akafa kabla ya muda wake...
We jamaa umeoa kweli kwa mawazo yako haya
 
Kama mume wako ananuka mdomo, anakuna kama beberu, hasafishi masikio, hatumii hata lotion, pafyum, in short hana mvuto, kiasi cha kukulazimu ukae na watorto wa mjini wanaopaka scrub, etc ni dhahidi mke naye ana tatizo kubwa.

Huwezi kuwa una akili sawasawa halafu mumeo uliyeapa kuishi naye katika shida na raha akawa kama hivo ulivyoelezea, lazima utakuwa aidha dishi limeyumba au mnara ni wa voda lakini network yako inasoma tigo.

Ndoa sio jambo la mzaha mzaha, unapoamua kuingia katika ndoa hakikisha utoto umeuacha na ujana umeumaliza
Wanaume hawatabiriki
 
Huyo jamaa na bonge moja la pimbi! Anampoteza dada wa watu! Ingawa naye huyo dada ni mchepukaji mahiri na huwa anajisifia anavyopendana na ex wake! Wote hawa akili zinafanana!
Atakuwa hajaoa bado.
 
Ndio nimeongea nae kuonesha jinsi gani nimeumia! Mwanzo nilikaa kimya mpaka mwenyewe aliponiuliza kuwa "mbona sikuhizi umebadilika sana seems like hunipendi tena " ndio nikamkumbusha mambo yake maovu ambayo yalikuwa moyoni mwangu
Akasemaje? Ana mpango gani kuhusu mustakabali wenu?.
 
kabla sijaoa nilikuwa nawachukia wazee waliokuwa wanawasaliti wake zao kwenda nyumba ndogo ila toka nimeoa nimeona hawana kosa kbs,, makosa yaanzia kwa wake zao, unarudi home kelele, unaomba unyumba unasubirishwa mara leo nimechoka, kesho tena umechoka, unaomba unyumba asubuhi unaambiwa subiri usiku, ukifika usiku leo nimechoka unajikuta umekata wiki mbili kwa nn nisiende nyumba ya jirani? mama jitafakari vyema angalia mapungufu yako. muda mwingine unapewa kama umesusiwa tu hakuna ushirikiano. ukienda kwenye kazi ya nje hadi unafurahi unasikia hadi sauti nzuri masikioni mtoto analalamika kwa maneno mazuri ukija home speaker mbovu haitoi mlio kimya kimya
Huwa mnaoa wanawake wasiowapenda au shida ni nini?.
 
Nafikiri jipe muda tu uone hali itakuwaje. Itategemeana na jinsi huyo mwenzako anavyo- au atakavyo-jibehave. Kama ataonyesha kujutia kitendo hicho cha kukucheat basi msamehe tu. Ieleweke wanaume sisi hata pale tunapocheat si kwamba hatuwapendi wake zetu. Huwa mara nyingi ni utoto tukikua huwa tunaacha!
Mbona mimi namjua mzee na anacheat?
 
Habari wana JF!

Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha? Mume wangu alini-cheat nikamsamehe ame-cheat tena na sasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia naye tena
Afadhali moyo ufe ganzi ila mwili bado una kinga za kutosha. Ukimuendekeza ujue utaambukizwa upungufu wa kinga mwilini.
 
Habari wana JF!

Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha? Mume wangu alini-cheat nikamsamehe ame-cheat tena na sasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia naye tena
Pole sana Sister. Nakuonea huruma sana,sababu inaumiza sana kaa naye chini mjadili kuna kitu huenda kiko kwako kinahitaji marekebisho. otherwise ni tabia yake mbaya tuu anahitaji maombi
 
kabla sijaoa nilikuwa nawachukia wazee waliokuwa wanawasaliti wake zao kwenda nyumba ndogo ila toka nimeoa nimeona hawana kosa kbs,, makosa yaanzia kwa wake zao, unarudi home kelele, unaomba unyumba unasubirishwa mara leo nimechoka, kesho tena umechoka, unaomba unyumba asubuhi unaambiwa subiri usiku, ukifika usiku leo nimechoka unajikuta umekata wiki mbili kwa nn nisiende nyumba ya jirani? mama jitafakari vyema angalia mapungufu yako. muda mwingine unapewa kama umesusiwa tu hakuna ushirikiano. ukienda kwenye kazi ya nje hadi unafurahi unasikia hadi sauti nzuri masikioni mtoto analalamika kwa maneno mazuri ukija home speaker mbovu haitoi mlio kimya kimya
Hahaaaa kweli wew unawajua vizuri
 
Hapana sijawahi mcheat na kati ya vitu ninavyojivunia na vilivyokamatisha kwake n ni unyumbaa aisee anajua kunivuruga kunako 6 kwa 6 na kati ya vitu nitavomis kwake ni mitii ila sijali tena hilo nikama nimepararaizi kihisia
Ohooo...
 
Back
Top Bottom