Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

Unanuka mdomo, unakuna kama beberu, husafishi maskio, hutumii hata lotion, pafyum, , in short huna mvuto, lazma arke na watorto wa mjini wanaopaka scrub, etc
Kama mume wako ananuka mdomo, anakuna kama beberu, hasafishi masikio, hatumii hata lotion, pafyum, in short hana mvuto, kiasi cha kukulazimu ukae na watorto wa mjini wanaopaka scrub, etc ni dhahidi mke naye ana tatizo kubwa.

Huwezi kuwa una akili sawasawa halafu mumeo uliyeapa kuishi naye katika shida na raha akawa kama hivo ulivyoelezea, lazima utakuwa aidha dishi limeyumba au mnara ni wa voda lakini network yako inasoma tigo.

Ndoa sio jambo la mzaha mzaha, unapoamua kuingia katika ndoa hakikisha utoto umeuacha na ujana umeumaliza
 
We jamaa umeoa kweli kwa mawazo yako haya
 
Wanaume hawatabiriki
 
Huyo jamaa na bonge moja la pimbi! Anampoteza dada wa watu! Ingawa naye huyo dada ni mchepukaji mahiri na huwa anajisifia anavyopendana na ex wake! Wote hawa akili zinafanana!
Atakuwa hajaoa bado.
 
Ndio nimeongea nae kuonesha jinsi gani nimeumia! Mwanzo nilikaa kimya mpaka mwenyewe aliponiuliza kuwa "mbona sikuhizi umebadilika sana seems like hunipendi tena " ndio nikamkumbusha mambo yake maovu ambayo yalikuwa moyoni mwangu
Akasemaje? Ana mpango gani kuhusu mustakabali wenu?.
 
Huwa mnaoa wanawake wasiowapenda au shida ni nini?.
 
Mbona mimi namjua mzee na anacheat?
 
Habari wana JF!

Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha? Mume wangu alini-cheat nikamsamehe ame-cheat tena na sasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia naye tena
Afadhali moyo ufe ganzi ila mwili bado una kinga za kutosha. Ukimuendekeza ujue utaambukizwa upungufu wa kinga mwilini.
 
Habari wana JF!

Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha? Mume wangu alini-cheat nikamsamehe ame-cheat tena na sasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia naye tena
Pole sana Sister. Nakuonea huruma sana,sababu inaumiza sana kaa naye chini mjadili kuna kitu huenda kiko kwako kinahitaji marekebisho. otherwise ni tabia yake mbaya tuu anahitaji maombi
 
Hahaaaa kweli wew unawajua vizuri
 
Hapana sijawahi mcheat na kati ya vitu ninavyojivunia na vilivyokamatisha kwake n ni unyumbaa aisee anajua kunivuruga kunako 6 kwa 6 na kati ya vitu nitavomis kwake ni mitii ila sijali tena hilo nikama nimepararaizi kihisia
Ohooo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…