GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Angalia hata manara amekanusha kwamba clouds hiyo habari wamezusha jana simba walikuwa gym hakukuwa na mechi yoyote
Nawewe kumbe unaakili za utopolo!!! Simba mnyama hajacheza wiki hii mechi ya kirafiki. Why wacheze mechi ya kirafiki. Manyani yalicheza coz kocha na mpya na haijui timu yake bado. Lile bango linalotrend ni la mechi ya Azam na transcamp watopolo waliedit. Kama shafii naye alihadaika Basi ni utopolo tuu Kama wewe.
Hata sijashtuka sababu naimani na Chama langu Simba ScGENTAMYCINE Shaffih kaomba radhiiii,,ndio uongee sasaView attachment 1572526
Na hakuna anachopata Sasa... Ajabu sanaShaffih Dauda sio mara ya kwanza kuzusha mambo ya uongo kwa klabu ya Simba imekuwa ni tabia yake sasa.
Hata mm nilimsikia na akapiga kijembe juuSasa kama hawakuwa na 'Uhakika' nayo kwanini tena 'Boss' wao kabisa Shaffih Dauda 'akasema' huku akiwa 'anafurahia' pia Simba SC Kufungwa?
Mikia wanateseka sanaaaIyo ni siri kwakua Mudi akisikia achelewi ku ghairi.
Manyani fc walikuwa wanatafuta nauli ya kageraNawewe kumbe unaakili za utopolo!!! Simba mnyama hajacheza wiki hii mechi ya kirafiki. Why wacheze mechi ya kirafiki. Manyani yalicheza coz kocha na mpya na haijui timu yake bado. Lile bango linalotrend ni la mechi ya Azam na transcamp watopolo waliedit. Kama shafii naye alihadaika Basi ni utopolo tuu Kama wewe.
Wana Simba SC Wenzangu hii 'dhana' kwamba Simba SC yetu haipaswi 'Kufungwa' tuiache na nimesikitika kuona taarifa hii haijaletwa Kwetu jana.
KabisaManyani fc walikuwa wanatafuta nauli ya kagera
Hahahahahaha!! GENTAMYCINE pole mkuu...usijali kukosea na kujifunza ni hatua mojawapo ya kukomaaImarisha Kwanza 'IQ' yako ili iwe inaweza 'Kunielewa' GENTAMYCINE na ukiona sasa ipo sawa na zimetimia 100% rudi tena hapa Kujibizana nami.
Haha haaaMechi zote ambazo Klabu yangu 'pendwa' ya Simba SC imekuwea ikicheza hasa hizi zinazoitwa 'Mechi Mazoezi' tukishinda tu utaona katika Kurasa mbalimbali za Mitandao ya wana Simba SC na hata Klabu ya Simba huwa tunapewa 'Matokeo' haraka sana. Kwa mujibu wa Mtangazaji wa Clouds FM Shaffih Dauda jana mwishoni mwa Kipindi chao cha Michezo cha 'Sports Extra' alisema ( alihabarisha ) kuwa Simba SC ilicheza 'Mechi Mazoezi' na Timu ya Jeshi pale Mwenge Vinyago ya Green Warriors ambayo kiukweli huwa si tu inatusumbua lakini pia inatutesa kila tukikutana nayo na kama yetu Simba SC tulichezea 'Kichapo' kizuri tu kutoka Kwao.
Wana Simba SC Wenzangu hii 'dhana' kwamba Simba SC yetu haipaswi 'Kufungwa' tuiache na nimesikitika kuona taarifa hii haijaletwa Kwetu jana.