'Unafiki' huu sijauzoea japo ni mwana Simba SC tena 'lia lia' kabisa, jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?

'Unafiki' huu sijauzoea japo ni mwana Simba SC tena 'lia lia' kabisa, jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?

Angalia hata manara amekanusha kwamba clouds hiyo habari wamezusha jana simba walikuwa gym hakukuwa na mechi yoyote

Hii 'Comment' unaileta Kwangu 'Mjumbe' tu nisiyeuwawa au unatakiwa uielekeze moja kwa moja Kwake 'Mbea' na 'Mnafiki' Shaffih Kajuna Dauda?
 
Nawewe kumbe unaakili za utopolo!!! Simba mnyama hajacheza wiki hii mechi ya kirafiki. Why wacheze mechi ya kirafiki. Manyani yalicheza coz kocha na mpya na haijui timu yake bado. Lile bango linalotrend ni la mechi ya Azam na transcamp watopolo waliedit. Kama shafii naye alihadaika Basi ni utopolo tuu Kama wewe.

Mjumbe huwa 'hauwawi' au hujui hilo? Pelekeni 'lawama' zenu kwake 'Mnafiki' na 'Mbea' Mtangazaji na 'Boss' wa CMG Shaffih Kajuna Dauda sawa?
 
GENTAMYCINE Shaffih kaomba radhiiii,,ndio uongee sasa
FB_IMG_1600354882054.jpg
 
Shaffih Dauda sio mara ya kwanza kuzusha mambo ya uongo kwa klabu ya Simba imekuwa ni tabia yake sasa.
 
Hii inadhihirisha Tanzania tuna waaandishi na watangazaji makanjanja.
Leo nimeona Shafih akikanusha hiyo habari na kusema aliona kwenye page ya oscarjunior. Sasa najiuliza inakuwaje mwandishi mkubwa kama huyo anaripot habar bila kuwa na reliable source.
 
Nawewe kumbe unaakili za utopolo!!! Simba mnyama hajacheza wiki hii mechi ya kirafiki. Why wacheze mechi ya kirafiki. Manyani yalicheza coz kocha na mpya na haijui timu yake bado. Lile bango linalotrend ni la mechi ya Azam na transcamp watopolo waliedit. Kama shafii naye alihadaika Basi ni utopolo tuu Kama wewe.
Manyani fc walikuwa wanatafuta nauli ya kagera
 
Ubwege kitu kibaya sana. Mtu unashindwa hata kutumia common sense.unaona matokeo hutumii hata akili kujiuliza huyo prince dube alisajiliwa lini na Simba?

Yaani Simba icheze mechi tz iwe siri? Hivi hivyo vichwa nyie wenzetu ni vya kazi gani?isije ikawa mnafugia nywele tu na pia kuwa kishikilio cha macho,masikio ,mdomo na pua.

IMG-20200917-WA0052.jpg
IMG-20200917-WA0051.jpg
IMG-20200917-WA0053.jpg
IMG-20200917-WA0049.jpg
IMG-20200917-WA0052.jpg
IMG-20200917-WA0051.jpg
IMG-20200917-WA0053.jpg
IMG-20200917-WA0049.jpg
 
Mods watoe hii takataka maana kuna vichwą vibovu vyenyewe vinăishia kuso heading tu kisha vinatiririsha utopolo wao bil@ kupitia maoni ambayo ndio yamebeba ukweli,
 
Imarisha Kwanza 'IQ' yako ili iwe inaweza 'Kunielewa' GENTAMYCINE na ukiona sasa ipo sawa na zimetimia 100% rudi tena hapa Kujibizana nami.
Hahahahahaha!! GENTAMYCINE pole mkuu...usijali kukosea na kujifunza ni hatua mojawapo ya kukomaa
 
Simba wamchukue Zahera atawasaidia sana
 
Mechi zote ambazo Klabu yangu 'pendwa' ya Simba SC imekuwea ikicheza hasa hizi zinazoitwa 'Mechi Mazoezi' tukishinda tu utaona katika Kurasa mbalimbali za Mitandao ya wana Simba SC na hata Klabu ya Simba huwa tunapewa 'Matokeo' haraka sana. Kwa mujibu wa Mtangazaji wa Clouds FM Shaffih Dauda jana mwishoni mwa Kipindi chao cha Michezo cha 'Sports Extra' alisema ( alihabarisha ) kuwa Simba SC ilicheza 'Mechi Mazoezi' na Timu ya Jeshi pale Mwenge Vinyago ya Green Warriors ambayo kiukweli huwa si tu inatusumbua lakini pia inatutesa kila tukikutana nayo na kama yetu Simba SC tulichezea 'Kichapo' kizuri tu kutoka Kwao.

Wana Simba SC Wenzangu hii 'dhana' kwamba Simba SC yetu haipaswi 'Kufungwa' tuiache na nimesikitika kuona taarifa hii haijaletwa Kwetu jana.
Haha haaa
 
Back
Top Bottom