Unafiki SIO TUSI, ni tabia. Mtu akikuita mnafiki hajakutukana ameeleza tabia.

Jamaa kapiga kwenye mshono[emoji23][emoji23][emoji23].

Hawa watu ni viumbe wa ajabu sana,na kama siku wangeachana na hako katabia,ingekuwa jamii bora sana.

Juzi kuna mtaalam aliuliza humu,wale wamatumbi pale sudan wanaokufa kama nzi mbona hatusikii matamko na hashtag za”we stand with sudan”???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…