FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Picha imepigwa pasipo watu, watu wanapokea mgeni kwa nyuma?Kwahiyo hiyo angle watu watu wamekimbia!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha imepigwa pasipo watu, watu wanapokea mgeni kwa nyuma?Kwahiyo hiyo angle watu watu wamekimbia!!
Umekula daku!!?Picha imepigwa pasipo watu, watu wanapokea mgeni kwa nyuma?
Inakuhusu?Umekula daku!!?
Hahahahaha...jamaa siku wana hakikisha wana mpost makonda..wanazidi kumuweka juu tuErythrocyte ipo namna na wenzio mmeshanunuliwa kimyakimya,kivipi mnampa promo mtu ambae mnasema hafai?
hakika mkuu,haters wake ndio wanamimina nyuzi mfululizoHahahahaha...jamaa siku wana hakikisha wana mpost makonda..wanazidi kumuweka juu tu
Aliyesema ni Makonda sisi tumenakili tuSio marope ndio mtoto pendwa?,mnabadili gia daily
hao watu wa nyumba za ibada ndio wazinzi,walevi,wala rushwa wakubwa kuliko hata wasiofanya ibada.Shetani anapotajwa kwenye nyumba za ibada tangu Babu yako hajazaliwa hadi leo naye anapewa promo ?
😆😆😆😆hao watu wa nyumba za ibada ndio wazinzi,walevi,wala rushwa wakubwa kuliko hata wasiofanya ibada.
chunguza utajua kati ya hao na wasioingia nyumba za ibada wepi wanaongoza kwa kuanguka mapepo.
Kifupi wanamfuatilia na ukiona mtu anamfuatilia sana mtu mwingine ujue huyo mtu anayefuatiliwa ana kitu ambacho mfuatiliaji hana au ana muogopa ....hakika mkuu,haters wake ndio wanamimina nyuzi mfululizo
wanatumia negative movement kumkuza!.
huku ni kumchochea mtajwa ajulikane zaidi, awe maarufu zaidi, azungumzwe zaidi, aonekane zaidi kwenye jamii na midia, ajae zaidi katika ndimi, mioyo na fikra za wanainchi wote, mpaka kule ground chini kabisaa 🐒Hili ni eneo lile lile na watu walewale, Ya Juu akiwa Mwenezi, Ya Chini akiwa RC mtoto mpendwa wa mama
Tafakari mwenyewe
Shetani naye kwenye nyumba za ibada anapaishwa ? Maana anatajwa kabla babu wa babu yako hajazaliwahuku ni kumchochea mtajwa ajulikane zaidi, awe maarufu zaidi, azungumzwe zaidi, aonekane zaidi kwenye jamii na midia, ajae zaidi katika ndimi, mioyo na fikra za wanainchi wote, mpaka kule ground chini kabisaa 🐒
then ikifika wakati muafaka sasa, anasema anataka kuwa Fulani katika nchi hii. Mpinzani, chama chake, asie na chama wote watakua wanamjua na wanamfahamu vema, kabla hata hajatangaza dhamira yake hiyo huko mbeleni. Na hii itakua rahisi sana kwa yeye sasa kuyafikia malengo yake 🐒
So,
this move by social media activists to make this gentleman popular, is very significant politically speaking for the man to achieve his political ambitions in the near future 🐒
1.Kikokotoo cha zamani kwa wafanyakaziTuleteeni sera zenu.
Haya ya Makonda....Waachieni CCM wafanye kumpaisha.
Yes,Shetani naye kwenye nyumba za ibada anapaishwa ? Maana anatajwa kabla babu wa babu yako hajazaliwa
Unachopaswa kukifahamu ni hiki , Shetani hajawahi kuwa na RafikiYes,
Mashetani mnampiga mishale inayomuimarisha na kumfannya Makonda awe Mtakatifu zaidi na jemedari hodari wa vita dhidi ya mashetani dhaifu sana na wenye gubu dhidi ya kufanikiwa kwake 🐒
na bado, huu ni mwanzo. Mtamtukuza na kumshambulia sana tu kila uchwao kwa nyimbo na mapambiio yote ya kishetanni, anakua Imara zaidi 🐒
Mtashindana lakini hamtashinda 🐒
bali mnyang'anyi, jambazi wa malori na mdhulumati wa wafanyikazi wa Tanzania Daima anaweza kua Nabii right ?🐒Unachopaswa kukifahamu ni hiki , Shetani hajawahi kuwa na Rafiki
CHADEMA inanishangaza sana. Yaani sera na ajenda zao zilibadilika ghafla tu, baada ya National Housing Kudai pango lao la mjengo walioukodi Familia ya Mbowe.Sera tuliondoka nazo na akina Slaa, Mkumbo, etc 2015 baada ya chama kukodishwa kwa Lowasa. Sasa hivi zimebaki porojo na kusema pipozi tu.
Kuyabandika hayo yote bila ya kuonyesha vielelezo bayana, ni kutuchanganya Watanzania. CCM ina ilani yao inayoeleza bayana sera zao.1.Kikokotoo cha zamani kwa wafanyakazi
2.Katiba mpya
3. Ajira
4.Umeme
5.Tozo
6..
.
.
.