Unafikiri Diamond akiendelea na aina hii ya Muziki atanusa tena tuzo za Kimataifa?

Unafikiri Diamond akiendelea na aina hii ya Muziki atanusa tena tuzo za Kimataifa?

Mmmh tuache unafiki zilipendwa nouma

carnte himself
 
Yani nashukur mzazi wangu kunipa elimu. Kinachomtesa Mondi ni lack of Education. That's why Alikiba knows that 'the best revenge is not to be like your enemy' sasa yy Dai anataka wafanane. Which is wrong, pia anapenda competition

Elimu elimu elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kukuta wewe mwenye elimu yako haufikii hata robo ya maisha yake.
 
Zilipendwa haitamuacha mtu salama.Ubunifu wa hali ya juu asee.Ni mara ya 12 naitazama hii video.Kumbe ndio maana watu wamepaniki asee
 
Yani nashukur mzazi wangu kunipa elimu. Kinachomtesa Mondi ni lack of Education. That's why Alikiba knows that 'the best revenge is not to be like your enemy' sasa yy Dai anataka wafanane. Which is wrong, pia anapenda competition

Elimu elimu elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond anapambana na hali yake..!
Na wewe pambana na hali yako mama msomi..!
 
Huna akili wewe kwani diamond katoa wimbo mmoja tu, anaangalia analenga nini huu wimbo kalenga hapa home zaid.
 
Back
Top Bottom