Michael Mtitu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 693
- 512
Mh! watu mna maneno!mimi nimesikia kakopy pambio la bony mwaitege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh! watu mna maneno!mimi nimesikia kakopy pambio la bony mwaitege
Unaweza kukuta wewe mwenye elimu yako haufikii hata robo ya maisha yake.Yani nashukur mzazi wangu kunipa elimu. Kinachomtesa Mondi ni lack of Education. That's why Alikiba knows that 'the best revenge is not to be like your enemy' sasa yy Dai anataka wafanane. Which is wrong, pia anapenda competition
Elimu elimu elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sishindani nae. Am not on competition. Kwanza huwezi kasema mango juice ni sawa na bia ya serengenti. Labda pepsi na coca ndo vinaka sawa.Unaweza kukuta wewe mwenye elimu yako haufikii hata robo ya maisha yake.
Wewe wasema...na ulisha downloadNyimbo za Mondi za sasa kama bigijii tu
Siku zote wenye Roho mbaya, Chuki, Wivu, Wanafiki, n.k Mbaya huwa hawashauri kitu.Unafikiri hii staili ya vigodoro inaweza kumpaisha kimataifa na kupata tuzo tena?[/QU
Hahahahhh jomoniiiHawez kunusa maana ata hela ya kununua tuzo hizo atakua hana... sana sana atageukia karanga ambazo watu wakshajua kwenye kile kipakti kuna karanga tisa (9) hawatanunua
Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond anapambana na hali yake..!Yani nashukur mzazi wangu kunipa elimu. Kinachomtesa Mondi ni lack of Education. That's why Alikiba knows that 'the best revenge is not to be like your enemy' sasa yy Dai anataka wafanane. Which is wrong, pia anapenda competition
Elimu elimu elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaaah...Am very much proud to be educated. Isingekua elimu ningekua kama Mondi. Najivunia mara dufu
Sent using Jamii Forums mobile app
9?Hawez kunusa maana ata hela ya kununua tuzo hizo atakua hana... sana sana atageukia karanga ambazo watu wakshajua kwenye kile kipakti kuna karanga tisa (9) hawatanunua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu anapambana na hali yake. Kwani wewe kuna mtu anakupambania hali yakoDiamond anapambana na hali yake..!
Na wewe pambana na hali yako mama msomi..!
Jiongeze!Ahahaaaaah...
Kwahiyo unataka kumaanisha nini hapa labda..!?
Hiyo slogan yako nimeipendaNa idea yote imetokana na wimbo wa matonya, ubunifu zero kabisa.
To accomplish much you must first lose everything..
Nimeipenda hiiChapati moja 250 kwa mama ntilie chapati sita ni sawa 1500 sawa na kg 1 ya ngano yenye kutoa chapati zaid ya 15.
Basi watu wasingekuwa wana nunua chapati