Unafikiri ni kauli ipi inatisha kuliko zingine kwenye dala dala?

Unafikiri ni kauli ipi inatisha kuliko zingine kwenye dala dala?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250

1) Nitakupa.
2) Atakupa mbele.
3) Hujapewa mbele?
4) Utapewa nyuma.
5) Nitakupa nikikaa vizuri.
6) Ngoja isimame nikupe.
7) Subiri asimamishe nikupe.
8) Hivi nilivyokaa nitakupaje?
9) Utapewa tulia.
10) Nikupe mara ngapi?
11) Msimpe nimeshampa huku mbele


Chagua halafu
ongezea na wewe zingine
 
Dereva wakati mnashuka kilima anasema

BREKI ZIMEKATIKA

HII NDIO KAULI HOT
 

1) Nitakupa.
2) Atakupa mbele.
3) Hujapewa mbele?
4) Utapewa nyuma.
5) Nitakupa nikikaa vizuri.
6) Ngoja isimame nikupe.
7) Subiri asimamishe nikupe.
8) Hivi nilivyokaa nitakupaje?
9) Utapewa tulia.
10) Nikupe mara ngapi?
11) Msimpe nimeshampa huku mbele


Chagua halafu
ongezea na wewe zingine
Dada hapo nyuma
 
Back
Top Bottom