Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 233
- 298
Habari Wakuu,
Wengi tumekuwa tunapokea ama kutoa ushauri kwa watu kuacha kuanika maisha yao binafsi mtandaoni. Baadhi wanaelewa huku wengine ikionekana maneno yanaingia sikio moja na kutokea jingine.
Baadhi wamepata madhara kwa kuanika maisha yao mtandaoni huku wengine wakifaidika na hilo kwa kutembea na kiki.
Wewe unafikiri ni kwanini hutakiwi kuanika maisha yako binafsi mtandaoni? Kuna faida yoyote ya kufanya hivyo?
Wengi tumekuwa tunapokea ama kutoa ushauri kwa watu kuacha kuanika maisha yao binafsi mtandaoni. Baadhi wanaelewa huku wengine ikionekana maneno yanaingia sikio moja na kutokea jingine.
Baadhi wamepata madhara kwa kuanika maisha yao mtandaoni huku wengine wakifaidika na hilo kwa kutembea na kiki.
Wewe unafikiri ni kwanini hutakiwi kuanika maisha yako binafsi mtandaoni? Kuna faida yoyote ya kufanya hivyo?