Watu wengi hufunga TV ukutani kwa urefu wa kimo kikubwa sana zaidi ya mita Moja na ushee, yaani unakaa sebuleni utafika uko bar au lodge, kuangalia TV nimpaka uinue shingo juu au ulale kwenye mto wa kochi/sofa kichwa juu.
Hapo UNAAMBIWA wanaogopa watoto wasivunje TV, Kwani watoto ni wajinga sana kama walevi wakubwa walizaa watoto na wanaokutana lodge au bar kule ndo TV zinafungwa juu.
Eboh,
Hapo UNAAMBIWA wanaogopa watoto wasivunje TV, Kwani watoto ni wajinga sana kama walevi wakubwa walizaa watoto na wanaokutana lodge au bar kule ndo TV zinafungwa juu.
Eboh,