Unafuu wa watumishi wa Umma kujulikana pindi Bajeti ya Wizara hiyo ukisoma Bungeni

Unafuu wa watumishi wa Umma kujulikana pindi Bajeti ya Wizara hiyo ukisoma Bungeni

Mama Samia kwa heshima nakuomba usiache kuzungumzia mustakabali wa watumishi wa umma
 
Kwa sisivwachumi tuna amini ukitangaza nyongeza unakaribisha inflation.sasa sijui lugha gani itatumika?
Wewe unaishi wapi? Huko hakuna hiyo infesheni?
Umenunua sukari? Mafuta? Ngano? Sabuni? Bati?NONDO, sementi?

Miaka 6 hakina nyongeza na inflesheni ipo.

Unaishi wapi wewe...
 
R I P Jiwe sisi watumishi umetuchelewesha mno:
 
Mishahara ikiongezwa ata kimya kimya itajulikana tu ivo huwezi kukwepa hiyo inflation, ila ni bora tulalamike inflation wakati Kuna kilichoongezeka .
Na bado zimepanda kumekuwa na ongezeko la mshahara mkuu?
 
Ndugu zetu waislam hawanaga roho ya kwann Kama sisi Wakristo,na Imani Sana na Mama Samia Suluhu Hassan,watumishi wanarudi na kuwa Malaika siyo muda mrefu.
The storm is over.
haijawahi tokea tangu dunia iumbwe.kuna mashetani ndani ya wizara,kurugenzi,idara mpaka ngazi za chini.maafisa utumishi wa nchi ni kikwazo kikubwa katika maendeleo ya watumishi.uozo mwingi umejaa huko na wakuu wa idara hawana la kusema sababu nao ni sehemu ya ushetani huo.rushwa na kulindana kumetopea ndani ya taasisi nyingi nchini.cjui kama watumishi watakuja furahia utumishi wao cjui wasubiri sanaaa.
Wewe unaishi wapi? Huko hakuna hiyo infesheni?
Umenunua sukari? Mafuta? Ngano? Sabuni? Bati?NONDO, sementi?

Miaka 6 hakina nyongeza na inflesheni ipo.

Unaishi wapi wewe...
watafuteni wachawi ambao ni vyama vya wafanyakazi na uoga wenu wa kudai maslahi yenu.jifunzeni kutoka kenya wawape uzoefu wao.mkiteuliwa kusimamia chaguzi mnafurahia lkn kudai maslahi yenu mnaogopa na sasa mnambebesha rais mizigo yenu wakati wawakilishi wenu mnao na wamenyamaza kinywa.mlichaguliwa au mnachagua?mfumo wenu wa uchaguzi ukoje?mmegawanywa au mnagawanyika?Kazi kwenu.hakuna marefu yasiyo na mafupi.
 
haijawahi tokea tangu dunia iumbwe.kuna mashetani ndani ya wizara,kurugenzi,idara mpaka ngazi za chini.maafisa utumishi wa nchi ni kikwazo kikubwa katika maendeleo ya watumishi.uozo mwingi umejaa huko na wakuu wa idara hawana la kusema sababu nao ni sehemu ya ushetani huo.rushwa na kulindana kumetopea ndani ya taasisi nyingi nchini.cjui kama watumishi watakuja furahia utumishi wao cjui wasubiri sanaaa.

watafuteni wachawi ambao ni vyama vya wafanyakazi na uoga wenu wa kudai maslahi yenu.jifunzeni kutoka kenya wawape uzoefu wao.mkiteuliwa kusimamia chaguzi mnafurahia lkn kudai maslahi yenu mnaogopa na sasa mnambebesha rais mizigo yenu wakati wawakilishi wenu mnao na wamenyamaza kinywa.mlichaguliwa au mnachagua?mfumo wenu wa uchaguzi ukoje?mmegawanywa au mnagawanyika?Kazi kwenu.hakuna marefu yasiyo na mafupi.
Kama hujui bora unyamaze.
Tatizo lilikuwa ni Rais alikuwa na akili za kipumbavj kama wewe
 
Msitegemee jipya maana tayari mapendekezo yalishawasilishwa tangu January na hapakuwa na kipya.
 
haijawahi tokea tangu dunia iumbwe.kuna mashetani ndani ya wizara,kurugenzi,idara mpaka ngazi za chini.maafisa utumishi wa nchi ni kikwazo kikubwa katika maendeleo ya watumishi.uozo mwingi umejaa huko na wakuu wa idara hawana la kusema sababu nao ni sehemu ya ushetani huo.rushwa na kulindana kumetopea ndani ya taasisi nyingi nchini.cjui kama watumishi watakuja furahia utumishi wao cjui wasubiri sanaaa.

watafuteni wachawi ambao ni vyama vya wafanyakazi na uoga wenu wa kudai maslahi yenu.jifunzeni kutoka kenya wawape uzoefu wao.mkiteuliwa kusimamia chaguzi mnafurahia lkn kudai maslahi yenu mnaogopa na sasa mnambebesha rais mizigo yenu wakati wawakilishi wenu mnao na wamenyamaza kinywa.mlichaguliwa au mnachagua?mfumo wenu wa uchaguzi ukoje?mmegawanywa au mnagawanyika?Kazi kwenu.hakuna marefu yasiyo na mafupi.
Hakuna vyama vya wafanyakazi isipokuwa kuna mashina ya CCM
 
Watumishi wa umma nawaona mlivo matumbo joto MDA huu.

Ila sioni Kama ilo la nyongeza ya mshahara mnalotarajia litaweza kutamkwa leo hii.

Possibly,
Siku ya Mei mosi ndo mahala pake
 
Watumishi wa umma nawaona mlivo matumbo joto MDA huu.

Ila sioni Kama ilo la nyongeza ya mshahara mnalotarajia litaweza kutamkwa leo hii.

Possibly,
Siku ya Mei mosi ndo mahala pake
Makadirio yalishawasilishwa tangu January hivyo hakuna jipya
 
Back
Top Bottom