Uchaguzi 2020 Unagombea urais ili uonyeshe hasira za kushambuliwa na wahalifu, matokeo yake unaambulia aibu

Uchaguzi 2020 Unagombea urais ili uonyeshe hasira za kushambuliwa na wahalifu, matokeo yake unaambulia aibu

Idugunde,

Jomba chadema Kuna sera gani kule..sera labda za kupigwa risasi tu na uvunjaji was haki za binadamu hatujui ni wapi..chama chenyewe kimeshindwa kujiendesha na kujenga ofisi, ruzuku zinatafunwa na watu wachache hakuna ruhusa ya kuhoji,,ukihoji unaambiwa umetumwa na CCM then unafukuzwa, hivi hiki chama au Sacco's ya kutafutia pesa...ndio maana viongozi wake wengi wamesepea ccm kwa uncle Magu
 
Unagombea urais ili uonyeshe hasira za kushambuliwa na wahalifu, matokeo yake unaambulia aibu.
Idugunde, umejiunga na JF mwaka huu mwezi wa tano au siyo? Ngoja nikupashe habari ambayo ama unaijua vizuri au umeamua kwa makusudi unayoyajua kuyapuuzia na nitaanza kwa maswali manne tu.
  • Je unakiri kuwa kuna kikundi watu wahalifu wanaodaiwa kutojulikana ama unakataa?
  • Watu hawa kazi yao ni kuteka, kutesa na kupoteza raia wanaoikosoa serikali hii, je unajua hilo?
  • Vyombo vyetu vyote vya Usalama vimewahi kukiri katika nyakati tofauti uwepo wa watu hawa, je hii ni kweli?
  • Hata ilifikia hatua ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kulaumu kikundi hicho kwa kila kitendo kiovu kilichotokea, je hii ni kweli?
Kwa ufahamisho zaidi ni kuwa kikundi hicho hatari cha wasiojulikana hadi hii leo hakijawahi kukamatwa wala kutiwa nguvuni. Idugunde, je mpaka hapo nimesema uongo? kwa heshima na taadhima naomba majibu yako kwanza kabla sijaendelea,
 
Idugunde,

Huyo sio mwenzako, yeye anapata hbr zikiea bado za moto, hategemei kusikiliza tbc taifa.

Sema baada ya kuongea na vyombo vya hbr wanaweza wakasitisha zoezi.!!
 
Idugunde, umejiunga na JF mwaka huu mwezi wa tano au siyo? Ngoja nikupashe habari ambayo ama unaijua vizuri au umeamua kwa makusudi unayoyajua kuyapuuzia na nitaanza kwa maswali manne tu.
  • Je unakiri kuwa kuna kikundi watu wahalifu wanaodaiwa kutojulikana ama unakataa?
  • Watu hawa kazi yao ni kuteka, kutesa na kupoteza raia wanaoikosoa serikali hii, je unajua hilo?
  • Vyombo vyetu vyote vya Usalama vimewahi kukiri katika nyakati tofauti uwepo wa watu hawa, je hii ni kweli?
  • Hata ilifikia hatua ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kulaumu kikundi hicho kwa kila kitendo kiovu kilichotokea, je hii ni kweli?
Kwa ufahamisho zaidi ni kuwa kikundi hicho hatari cha wasiojulikana hadi hii leo hakijawahi kukamatwa wala kutiwa nguvuni. Idugunde, je mpaka hapo nimesema uongo? kwa heshima na taadhima naomba majibu yako kwanza kabla sijaendelea,
Hii sio justification ya kugombea urais,kisa kuna watu wasiojulikana.
 
Hii sio justification ya kugombea urais,kisa kuna watu wasiojulikana.
Kwa kuwa utawala wa sasa umeshindwa kuwashughulikia watu hao wanaoumiza wananchi je hudhani kwamba usalama wa wananchi ni hoja muhimu ya kugombea kama unaamini unao uwezo wa kutokomeza kadhia hiyo?

Kumbuka Rais wa sasa aliapa kuwalinda wananchi na alipewa vyombo vya kumsaidia katika kutimiza hilo.

La pili, kama huwezi kuwahakikishia wananchi usalama wao pamoja na vyombo vyote vilivyo chini yako, je una haki gani kuendelea na uongozi? Idugunde, twende tu taratibu bila jazba.
 
Ukweli huu hapa aliusema Dk MollelView attachment 1581526
Simsikilizi msaliti ikiwachadema ndio wajeshi nchini hapo sawa unafikiri kuingia sehem takatifu kama ile nimzezo jaribu uone chadema walikuwa wanatolewa bungeni kwa kutumia askari walinzi wabunge sasa nikuulize wewe walinzi nani aliwatoa siku hiyo.

Kamera nani alizizima sikuhiyo unataka. Fatilia mkutano wakampeni we chama cha magu hapakuna kijana anagombea urais mambieni aache nitamtafutia kikazi kidogo kazipo nyingi haya nibaadhi nilionukuu nampenda sana.

Majibu yayule alioambiwa kupewa kikazi. Mulizeni nikinani walinipiga risasi.

Kamakweli anipenda kwanini alininyima pesa yamatibabu. Jamaa yenu hajawahi kukubali walakukataa.
 
Tundu Lissu , anahoja nzuri sana anakosha watu , huyu ndiye anaue faa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
 
Kwa kuwa utawala wa sasa umeshindwa kuwashughulikia watu hao wanaoumiza wananchi je hudhani kwamba usalama wa wananchi ni hoja muhimu ya kugombea kama unaamini unao uwezo wa kutokomeza kadhia hiyo?

Kumbuka Rais wa sasa aliapa kuwalinda wananchi na alipewa vyombo vya kumsaidia katika kutimiza hilo.

La pili, kama huwezi kuwahakikishia wananchi usalama wao pamoja na vyombo vyote vilivyo chini yako, je una haki gani kuendelea na uongozi? Idugunde, twende tu taratibu bila jazba.
Kama serikali imeshindwa kulinda usalama wa raia wake watu wangekuwa wanafanya kampeni? Watu wangekuwa wanaishi kwa amani na usalama? Biashara zingekuwa zinafanyika usiku kucha?
 
Simsikilizi msaliti ikiwachadema ndio wajeshi nchini hapo sawa unafikiri kuingia sehem takatifu kama ile nimzezo jaribu uone chadema walikuwa wanatolewa bungeni kwa kutumia askari walinzi wabunge sasa nikuulize wewe walinzi nani aliwatoa sikuhiyo
Kamera nani alizizima sikuhiyo unataka
Fatilia mkutano wakampeni we chama cha magu hapakuna kijana anagombea urais mambieni aache nitamtafutia kikazi kidogo kazipo nyingi haya nibaadhi nilionukuu nampenda sana
Majibu yayule alioambiwa kupewa kikazi
Mulizeni nikinani walinipiga risasi
Kamakweli anipenda kwanini alininyima pesa yamatibabu
Jamaa yenu hajawahi kukubali walakukataa
Muulize Dk Mollel.
 
Yeyr
Muulize Dk Mollel.
Yeye huyo molle ndio alipigwa marisasi alikuwepo kwenyetukio kilakitu kinamtupa kamamlimnunua kwaajili yakuwafichia maovu imebuma ingekuwa lisu kafa porojo zenu zingetiki lakini yupommekwama
 
Kama serikali imeshindwa kulinda usalama wa raia wake watu wangekuwa wanafanya kampeni? Watu wangekuwa wanaishi kwa amani na usalama? Biashara zingekuwa zinafanyika usiku kucha?
Kwa hiyo wewe umeridhika na matukio ya watu kutekwa, kuteswa, miili yao kuokotwa kwenye viroba...kwako yote sawa tu. Waliopotelewa na ndugu zao wasiitake serikali kuwajibika na badala yake wamuongezee awamu nyingine aliyesimamia serikali hiyo au siyo?
 
Kwa hiyo wewe umeridhika na matukio ya watu kutekwa, kuteswa, miili yao kuokotwa kwenye viroba...kwako yote sawa tu. Waliopotelewa na ndugu zao wasiitake serikali kuwajibika na badala yake wamuongezee awamu nyingine aliyesimamia serikali hiyo au siyo?
Hao ambao ndugu zao waliokotwa kwenye viroba wapo wapi? Unawafahamu? Kwa nini wasichukue hatua stahiki kama kwenda tume ya haki za binadamu ili haki ipatikane?

Wewe unao ushahidi gani kuwa JPM kahusika moja kwa moja. Unaweza kutoa ushahidi mbele ya tume za haki za binadamu sheria ifuate mkondo?
 
Wewe unao ushahidi gani kuwa JPM kahusika moja kwa moja. Unaweza kutoa ushahidi mbele ya tume za haki za binadamu sheria ifuate mkondo?
Una maana gani kuuliza ushahidi kama JPM alihusika moja kwa moja? Hebu fafanua kidogo, kuna kuhusika aina ngapi?
 
Una maana gani kuuliza ushahidi kama JPM alihusika moja kwa moja? Hebu fafanua kidogo, kuna kuhusika aina ngapi?
Sijui wewe unaemtuhumu,unajua kahusika vipi?
 
Amesema mzee mmoja maarufu kuwa kupigwa risasi na kupata ulemavu sio jambo zuri,lakini sio kigezo cha mtu kuingia ulingoni ili apate urais.

Matokeo yake kila unapokuwa unasimama majukwaani ni kuvunja sheria za nchi na kuambulia aibu.

Hivi kwa nchi kama Tanzania ambayo inajiendesha kwa misingi ya katiba na sheria mgombea urais unasimama jukwaani na kudai serikali ilikupiga risasi na rafiki yako Ansbert Ngurumo alinusurika kuuwawa na kukimbilia Finland. Huoni kama huu ni uchochezi?

Wewe ni mwanasheria Nguli unafahamu namna human rights violations zikifanyika hatua gani ziaweza kuchukukiwa. Kwa nini hizo hatua hujazifuata na kubaki kuongea maneno ya uchochezi?

Leo bila ya aibu unasema unazo habari za kusikia ambazo huna uhakika nazo, unasema maafisa wa polisi huko Songwe na Geita wamehamishwa vituo vya kazi, kisa tu waliwadhibiti wanachama na wafuasi wa CCM waliotaka kukufanyia vurugu. Mbona hizo habari hatujazisikia toka kwa msemaji wa jeshi la polisi? Hii ni aibu kwa mwanasheria nguli kutoa taarifa za kusikia tu.

Hii yote ya kuwa unaropoka mambo ambayo hayaendani na sera wala kampeni za Chadema ni sababu uligombea urais ukijua huwezi kushinda,bali ulitaka upatiwe nafasi kuonesha ghadhabu zako baada ya kuwa umeshambuliwa na watu wabaya. Lakini hii sio solution maana matamko yako yana lengo la kuhatarisha amani ya taifa letu.
Job 14:2 He cometh forth like a flower, and is cut down: he fleeth also as a shadow, and continueth not. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
 
Back
Top Bottom