Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Mie Bishanga tu, ananikondeshaje?

Kongosho mie pia unanikondesha na hiyo body yako ya kisukuma,sasa hapo na wewe unakondehwa na mwingine.Jamani mie sijui nirudi unyamwezini maana naona wote wana wenyewe,ha ha ha .........idd Mubarak bibie
 
mi nampenda Husninyo. yaani huyu dada cjui kaka namzimikia ile mbayaaaaaaaaaaa!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Minal faidhina

Mie mzima, sasa nakikondesha kwa avatar yangu? Hata haivuitii

Kongosho mie pia unanikondesha na hiyo body yako ya kisukuma,sasa hapo na wewe unakondehwa na mwingine.Jamani mie sijui nirudi unyamwezini maana naona wote wana wenyewe,ha ha ha .........idd Mubarak bibie
 
hahahhah

lara 1
namkubali kweeeli...... |don't add the dot | ..., |nothing attached|.
 
Mhe. Kaizer ni Sheikh huyu, hatumii hayo mambo:ban:
 
huyu jamaa Bishanga mbona anapendwa sana, au anatumia mbinu za Kimanzichana?
 

NAJILIPUA.......Aiseeeeee miss strong..:yield:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…