Time Bandit
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 615
- 321
Acha maofutopiki turudi kwa yetu mada,
Kati ya watu wote wakaka na kina dada,
Mapointi nayoyamwaga kwa kila zote mada,
Huoni ninavofaa kupata yako kura?
Mh yaan hata sitajwi
Boss nawe..Mimi je?
ID yako wanaiogopa mkuu! Ingekuwa 'mihelambayaa' loh! Ungeona hapo utakavyotajwa! Mweh!
Ivi kwen huu uzi hakuna mtu amenitaja?😕😕😎
mtoa mada ruhusa kumtaja hata mwanamke mwenzako kama unampenda? coz kuna mdada humu nampendaga sanaMapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
mtoa mada ruhusa kumtaja hata mwanamke mwenzako kama unampenda? coz kuna mdada humu nampendaga sana
( sio kimapenzi)
miss strong yani acheni tu.. mwenyewe anajua.
miss strong yani acheni tu.. mwenyewe anajua.
Mapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
sterling anakuwa wa mwisho kutaja mkuuWewe! Kwani vp?