Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
miss strong bana..unanipimia eeh?Utapiga nikikudip?teh teh teh....
umetajwa best kuna mtu anaitwa MUYOOL kakutajamh! Is it sijatajwa page zote hizi!!!?ngoja nijiridhishe
namtafuta alienitaja
umetajwa best kuna mtu anaitwa MUYOOL kakutaja
amepita hapa sasa hivi, kawa mdogo kama piriton, bora umesuuza moyo wake
Nilisahau I love Christine Ibrahim so much.
@ christine ibrahimu karibuha haaa,asante kwa kuniona!...
Ngoja nimtafute MUYOOL,kumbe napendwa hivi lol
Mapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
kumbe kuna watu wanapenda vivuli humu eenh?
Nampenda sana Mayenga, he is a good person. Najifunza mengi kutoka kwake.
Mkuu kuna watu wamefunga real ndoa huku kwa kupitia vivuli, kama bado single try bana, you never know
Naam mkuu natambua hilo...lakini si unaona hadi sasa hakuna aliyempenda watu8 :becky:
tehteh! Ni kwasababu unao 8 punguza hata abakie mmoja 2anze kukufikiria !
Hi hi hi hi, am blushing
Uwe unakuja mara moja moja, wabaya wako wanataka kuniiba bure, hasa Bishanga