Unahisi kumpenda nani hapa JF?

kumbe kuna watu wanapenda vivuli humu eenh?
 

Nampenda sana mayenga, he is a good person. Najifunza mengi kutoka kwake.
 
Mkuu kuna watu wamefunga real ndoa huku kwa kupitia vivuli, kama bado single try bana, you never know

Naam mkuu natambua hilo...lakini si unaona hadi sasa hakuna aliyempenda watu8 :becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…