Unahisi kumpenda nani hapa JF?

yaani Lara1 ameuza ile mbaya, vijana wengi wanamshobokea ile mbaya

Kiukweli lara 1 nampenda, ila mchakato ni mgumu kidogo! Ingekuwa rahisi kutekeleza wengi walivyonishauri, huyu dada hata kumnyanyua juu juu na kumfungia ndani ningefanya. Kanijenga kichwani na moyoni kwa maandishi yake tu, muonekano wake hautabadilisha chochote nitakapomuona! (Kama vipi nitakuwa nafunga macho nikiwa naongea naye..LOL), na ningependa jina liwe hili hili Lara!!, I miss you lara wangu! kwenye PM sikuoni nisamehe kama nimekukosea chochote tafadhali!.. Mwaaah
 
usiweke mwaya
hawakawii kunitolea uvivu;
Lakini Mamdenyi, si huwa tunaongea sana humu kwamba kuna factors mwanamke zinam-lead kuchagua partner wake? mimi naweka wazi nimekuzimia. Nadhani ni juu yako kuamua, yeye au mimi.
 
bombom inabidi niseme tu ukweli japo utaumia
usinizimikie as ndo nimehamia siasani moja kwa moja
nimegundua maisha bora kwa kila mtanzania yanakopatina
kwingine tunadanganyana tu,
copy chama.

Lakini Mamdenyi, si huwa tunaongea sana humu kwamba kuna factors mwanamke zinam-lead kuchagua partner wake? mimi naweka wazi nimekuzimia. Nadhani ni juu yako kuamua, yeye au mimi.
 
Last edited by a moderator:
lara 1, please come this way, umetafutwa ile mbaya, come and issue a statement
 
hakimbii mtu hapa kama vipi tafuta wadhamini wa mpambano
 
bombom inabidi niseme tu ukweli japo utaumia
usinizimikie as ndo nimehamia siasani moja kwa moja
nimegundua maisha bora kwa kila mtanzania yanakopatina
kwingine tunadanganyana tu,
copy chama.
Mamndenyi
Sisi tulime maisha bora yatapatikana tu; siasa imeharibiwa siku hizi waganga njaa wengi siasa imegeuka uwanja wa majungu na fitina; na huyu bombom amezukia wapi? maziwa yenyewe ya mgando yeye anataka kuyapikia chai ana wazimu? yupo saizi yake mama toto atamfaa sana; mwendesha kwama naye anataka kuendesha Marcedes? Au ndio hizo sembe ?
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi kifo cha staili hiyo chama ataacha historia kama yule jamaa ditto na wenzake
Mokoyo
Kama mvuvi vua usicheze na mashua! mvuvi kama mimi kufa baharini fahari nitachekwa nigongwa na daladala; hebu fikiria mauti yanakukuta umelala kifuani kwa unayempenda; kimwana mwanana kama Mamndenyi hata uchungu mauti hutausikia!
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi kifo cha staili hiyo chama ataacha historia kama yule jamaa ditto na wenzake
Mokoyo
Kama mvuvi vua usicheze na mashua! mvuvi kama mimi kufa baharini fahari nitachekwa nigongwa na daladala; hebu fikiria mauti yanakukuta umelala kifuani kwa unayempenda; kimwana mwanana kama Mamndenyi hata uchungu mauti hutausikia!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…