Sasa ndo nini na wewe bana...aaaah. Hebu rudi kwenye masiasa yako huko.
Acha wivu..mweehh!!
Kwani si mko chama moja? Au.
Lile tatizo nimepona, btw kuna lingine limejitokeza...lipo Jf Doctor!
Aah wapi. Mi nna mzio na hilo chama.
Ngoja nije huko nikuandikie dawa.
ZeMarcopolo...hulali,muda umekwenda.
Btw Nyani Ngabu nampenda tu sijui hata kwa nini japo kuna mahala tunakutana na kutupiana vijembe.
Wapo wengi, zomba, Ritz nao nawapenda, kulikuwa na huyu Matola...sa hivi kawa upande wa pili wa shilingi,sijui kwa nini, ila nadhani hapendi kuona najiita mtoto wa Kinondoni.
Hivi chama ni me au ke?
mtumie pm
Unauliza majibu au wataka leta karaha jamvini?