Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
ZeMarcopolo...hulali,muda umekwenda.
Btw Nyani Ngabu nampenda tu sijui hata kwa nini japo kuna mahala tunakutana na kutupiana vijembe.
Wapo wengi, zomba, Ritz nao nawapenda, kulikuwa na huyu Matola...sa hivi kawa upande wa pili wa shilingi,sijui kwa nini, ila nadhani hapendi kuona najiita mtoto wa Kinondoni.
Last edited by a moderator: