weye upo bibie, kama umepotea vile?
nipo..habari ya wewe?
No worries....zimefika shemMsalimie sana kaka angu mkubwa huyo
jamani makoyo uje mwenzio nina presha ya kushuka hivooHeaven on earth, hivi DEMBA ni mdogo wako? Mbona kuna nyakati niliwaona jukwaa fulani mkizungumza na Kaizer kimahaba habati, kilaazizi laazizi zaidi. Mimi nikajua watoka naye. Eeee kwakweli nahitaji ufafanuzi au nipeleke hizi tuhuma kwa Baba Paroko
Kijana sungura1980 nimeamini mvumilivu hula mbivu bado kidooog utang'oa jimbo hilo
Munkari, kesho atakuwa anachat hapa JF akiwa nyumbani kwangu, weekend bana. cc: Kaizer, sungura1980, etc