Unahisi kumpenda nani hapa JF?

We nawe wivu tu hadi kwa wake za wenzio, haya hebu niambie kipi kikugunishacho?

atoto, hivi imeshawahi kukutokea kufall kwa anonymous? Be sincere!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Teh teh teh! Nimekubamba sijakubambaaaa....bahati yako bado una miaka 23.

Aiii miaka mingapi??? Na uzee wote huu hebu nitake radhi?? Hivi Eli79 unaanzaje kumpenda anonimous!! Acha hizo bwana fanya muamala bwana
 
Last edited by a moderator:
Aiii miaka mingapi??? Na uzee wote huu hebu nitake radhi?? Hivi Eli79 unaanzaje kumpenda anonimous!! Acha hizo bwana fanya muamala bwana


Hakyanani kama uko 25+ narudi mlimani kwetu. Swali la kufall nimekuuliza wewe, mimi sijawahi...hata live live na mvi hizi nitaanzaje kufall.
 
Last edited by a moderator:
Hakyanani kama uko 25+ narudi mlimani kwetu. Swali la kufall nimekuuliza wewe, mimi sijawahi...hata live live na mvi hizi nitaanzaje kufall.

Wewe tena!!! Au unataka nikuumbue hapaπŸ˜‰
We nini25+ ni 30+, au ulidhani mie mtoto mwenzio kisa id ni atoto?
 
Last edited by a moderator:
ha ha haha kweli nimekushika pabaya (nimekushika kalio)

Yaani wewe miss chagga pona yako wewe ni mm kumpata shangazi yako mamndenyi azawais ntadeal na wewe mpk niku"';😑)πŸ™‚$_/"""")" zen nikumwage hata kwa kukuloga maana huwezi kumletea wivu mama mtu mzima hili ni zali lake..eeebooo!!
 
Hata mimi kuna mtu namzimikia balaa humu...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…