Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am humbled you know, thanks alot, nakukubali pia, one love.
povu limekutoka
Mmmh.....Am humbled you know, thanks alot, nakukubali pia, one love.
Mmmh.....
Uwiii sincere tena!! Hebu weka muamala bwana mbona unapiga chenga?
ha ha haha kweli nimekushika pabaya (nimekushika kalio)Na litaendelea kunitoka ukiendelea kuni follow follow...binti mdogo unakua mchawi km bibi yako wa kule moshi!!!teh teh
Aiii miaka mingapi??? Na uzee wote huu hebu nitake radhi?? Hivi Eli79 unaanzaje kumpenda anonimous!! Acha hizo bwana fanya muamala bwana
Hakyanani kama uko 25+ narudi mlimani kwetu. Swali la kufall nimekuuliza wewe, mimi sijawahi...hata live live na mvi hizi nitaanzaje kufall.
ha ha haha kweli nimekushika pabaya (nimekushika kalio)
Ninong'onezeNina mtu nampenda humu.................
Shida ni hiyo tu, watasema nakimbilia pesa.Ninong'oneze
Ha haa we sema kwanzaShida ni hiyo tu, watasema nakimbilia pesa.