Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Unahisi kumpenda nani hapa JF?

NAMPENDA SAANA! rubii, UANDISHI WAKE, YAONYESHA NI BINTI MREMBO ASIE NA MAKUU NA ANAEJIHESHIMU PIA.
 
Mapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
mokoyo hebu anza kusema wewe kwanza nasi tuanze kusema tunafurahishwa na miandiko ya akina nani humu jf
 
Kuna wengine tulishawapenda ila Mungu kawapenda zaidi... Uzi mkuuukuu sana wa mwaka 47
 
heee jamanii huwa nilikuwa nawaza amekwenda wapi nikajua mod wamemlima life ban mmmh

alikufa kwa malaria? rip mkuu malaria
Sababu ya kifo sikuifahamu ila i can confirm the man kicked the bucket some days ago
 
Back
Top Bottom