Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Nampenda Sana na sitajali kama Ni Mkubwa au size Yangu au Mdogo.
Nitamfuata PM siku ikifika. Anajitambua kabisaaa.
 
Nilishawahi kumfuata PM lakini dah, kwa maongezi aliyonipa aliniuwa zaidi sikuweza kuendeleza mazungumzo. kila siku nawaza kuendeleza mazungumzo lakini inaishia kwenye wazo tu, lakini mwenyewe anajijua vizuri.
 
Kuna kipindi tunajaribu kutoka na "superstar wa JF" ili tujue km matawi ya juu ana magumashi...Bora cc tunasema wazi ni watoto wa Uswaz so cku tukipata demu asishtuke tukimleta bondeni nyumba mbavu za mbwa...sebule stool 5.....Anayenipenda ajitokeze
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Makapuku wajambo???
 
Back
Top Bottom