- Thread starter
- #941
Ingia PM ueleze seraEmmyta seriously nampenda sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia PM ueleze seraEmmyta seriously nampenda sana.
Huwezi jua ya wakubwa...Aliliwa na wajanja?[emoji1]
Kunanini apa hommie? Sredi ya lini hii[emoji87] [emoji87]Huwezi jua ya wakubwa...
Tunamalizia viporo kama Yanga hommie...Kunanini apa hommie? Sredi ya lini hii[emoji87] [emoji87]
Orayt.. wakati nikiwa busy kumtafuta espy wako, tafadhali nawe fanya hima uniletee Arabian queen maeneo haya. Kuna jambo binafsi nataka kuwekana naye sawa.Hebu niitie espy
Huyu nilimwona akiwa na Shunie wakinunua madera sehemu unajua tena watoto wa Pwani. Je, nimfungulie Baraba?[emoji2] [emoji2]Orayt.. wakati nikiwa busy kumtafuta espy wako, tafadhali nawe fanya hima uniletee Arabian queen maeneo haya. Kuna jambo binafsi nataka kuwekana naye sawa.
Weweeeee ngoja wakufumeee[emoji4] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Cc Jovitha
Makapuku wajambo???Kuna kipindi tunajaribu kutoka na "superstar wa JF" ili tujue km matawi ya juu ana magumashi...Bora cc tunasema wazi ni watoto wa Uswaz so cku tukipata demu asishtuke tukimleta bondeni nyumba mbavu za mbwa...sebule stool 5.....Anayenipenda ajitokeze
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Me + you= WeMe, myself and I
Kina naniWeweeeee ngoja wakufumeee[emoji4] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
HahahahaMe + you= We