kirusi cha ukimwi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 799
- 646
umeniquote ila sijaona naona empty sms sasa sijui ulikuwa unaspemajeHata mimi kuna mtu namzimikia balaa humu...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
mokoyo hebu anza kusema wewe kwanza nasi tuanze kusema tunafurahishwa na miandiko ya akina nani humu jfMapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
kwani ladyfurahia nikiquote ni dhambi?umeniquote ila sijaona naona empty sms sasa sijui ulikuwa unaspemaje
Miss chaga , evelyn na jf member wengine wote kama benny , mshana jr
[emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]hapa italeta ugomvi tu.....take it from me...
He alifariki ama watania[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]mie namzimia sana marehemu Malaria Sugu
Ila avatar yako mmhMiss chaga , evelyn na jf member wengine wote kama benny , mshana jr
Alifariki muda tumuombee alale panapomstahiliHe alifariki ama watania[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
heee jamanii huwa nilikuwa nawaza amekwenda wapi nikajua mod wamemlima life ban mmmhAlifariki muda tumuombee alale panapomstahili
Sababu ya kifo sikuifahamu ila i can confirm the man kicked the bucket some days agoheee jamanii huwa nilikuwa nawaza amekwenda wapi nikajua mod wamemlima life ban mmmh
alikufa kwa malaria? rip mkuu malaria