Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Ha ha ha; sasa ukute ndo mnapiga biology class halafu profesor anaweka animation ya huyo kiumbe anavyopiga kazi ndani ya cell mh ndo utasema sigegedi tena
Ila binadamu tumeambiwa kusahau japo mimi sisahau hata maramoja
 
haha uzi wa cku nyingi duu yaani niwe muwazii akatai huo lify langu liko fb hata jf cjuii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
daa haya maisha ni mznguko
 
Sababu ya kifo sikuifahamu ila i can confirm the man kicked the bucket some days ago
some days?! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Unampenda humu humu JF na yanaishia humu pia. Wengine pretender tu
Kuna kipindi tunajaribu kutoka na "superstar wa JF" ili tujue km matawi ya juu ana magumashi...Bora cc tunasema wazi ni watoto wa Uswaz so cku tukipata demu asishtuke tukimleta bondeni nyumba mbavu za mbwa...sebule stool 5.....Anayenipenda ajitokeze
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wataka jitokeza
 
Nampenda V Mallya hata yy ananipenda nashangaa hasemi[emoji1] [emoji1]
 
mi nampenda but anaweza akawa mkubwa kuliko mimi alafu ikawa kizaaza
 
Mie kuna mtu nampenda huyo yaani basi tu kumwambia siwezi nabaki kusoma Comment zake na kuumia kimya kimya
Lkn pia ukiacha hilo nawapenda wotee humu ndani maana kupitia nyie nmejifunza vitu vingi ambavyo sikuwa navifaham
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…