FirstLady1 , Alhamask, bht, Bigirita, carmel, Fixed Point, Fredwash, King of Kings, Kyachakiche, montekalo, Mtu B, MwanajamiiOne, MzeePunch, Superman
HIVI KAZI ZINAFANYIKA KWELI? LUNCH MMEENDA...NAWAKUMBUSHA NI SAA 1:30PM KAMA MMESAHAU
Nini kuguna kama umekwamwa na mwiba wa samaki?mmh!!!
FirstLady1 , Alhamask, bht, Bigirita, carmel, Fixed Point, Fredwash, King of Kings, Kyachakiche, montekalo, Mtu B, MwanajamiiOne, MzeePunch, Superman
HIVI KAZI ZINAFANYIKA KWELI? LUNCH MMEENDA...NAWAKUMBUSHA NI SAA 1:30PM KAMA MMESAHAU
Nini kuguna kama umekwamwa na mwiba wa samaki?
Nawapenda wapenda.., wakina nani
Nawapendaaa!
Vijana fulani, nani,
Nawapenda.......
Wahuni kidogo, nawapenda,
Ni vichwa kichizi, nawapenda.
Serious when needed, nawapenda.
Wanafikiri nje ya box, nawapenda
Wacheshi sana, nawapenda.
Wanapenda mabia na mavaluu na mavinywaji ya baridi
Nawapenda....
wanajamiiana sana (wana-socialize sana)
Nawapenda.
FirstLady1 , Alhamask, bht, Bigirita, carmel, Fixed Point, Fredwash, King of Kings, Kyachakiche, montekalo, Mtu B, MwanajamiiOne, MzeePunch, Superman
HIVI KAZI ZINAFANYIKA KWELI? LUNCH MMEENDA...NAWAKUMBUSHA NI SAA 1:30PM KAMA MMESAHAU
inatosha mpwaπππNawapenda wapenda.., wakina nani
Nawapendaaa!
Vijana fulani, nani,
Nawapenda.......
Wahuni kidogo, nawapenda,
Ni vichwa kichizi, nawapenda.
Serious when needed, nawapenda.
Wanafikiri nje ya box, nawapenda
Wacheshi sana, nawapenda.
Wanapenda mabia na mavaluu na mavinywaji ya baridi
Nawapenda....
wanajamiiana sana (wana-socialize sana)
Nawapenda.
Chupaku hujafulia ila kuna mtu mmoja anaitwa Mfunyu...(malizia mwenyewe) akikuona tu lazima aku-mention, just wait, subira yavuta heri utapata mambo safiJamani mbona mimi sitajwi? Kumbe nimefulia, duh, ngoja nikajifiche!!!
Geoff, Mkuu naona Birigita anataka kugusa clutch na matope haya yote gari itafika kweli?inatosha mpwaπππ
Ilikuwa balaaaaa!!wataje sasa....au bado unatudengulia kwanza......
B nilikumis, visusio viliendaje??
Ilikuwa balaaaaa!!
Kuna kitu kinanichanganya kuhusu huyu jamaa ile avatar yake iko wapi? Ilinifanya nivunje muafaka, leo nimeona makubwa, irudishe bana, JF pataboa bila ile avatarMimi nawapenda cheusimangala na First lady
Clutch ya nini wakati nimeweka free mkuu, halafu tupo Kitonga sasa!Geoff, Mkuu naona Birigita anataka kugusa clutch na matope haya yote gari itafika kweli?
Kuna kitu kinanichanganya kuhusu huyu jamaa ile avatar yake iko wapi? Ilinifanya nivunje muafaka, leo nimeona makubwa, irudishe bana, JF pataboa bila ile avatar
Sio mbaya lakini bht, si unajua hii Kwaresima ukipitiliza unatangaza tu kuwa nimefunga, kuliko kwenda kula saa kumi utapingana na utaalamu wa Ndugu Ndodina kweli bestlady
nilidhani bado nimefunga.......
hapo kwenye red nimefumba macho, sitaki kuona kitakachotokea Mkuu, tafuta handbreak tafadhaliClutch ya nini wakati nimeweka free mkuu, halafu tupo Kitonga sasa!