Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Hahahahaaa unataka kunichonganisha na mdogo wako?
Ilikuwa halali yake kumnyemelea mrembo Munkari, pia alikuwa single ujue.
Nampenda sana mume wangu Sungura1980.

Mi nasubiri uachike nijifaidie.
 
anti simfahamu huyu kiumbe Chambo81

Miss chagga cfahamiani nae ila amekua mpinzani wangu tangu nipost thread ya kutangaza nia kwako mamndenyi...yaani yeye hataki tu niwe mjomba ake sijui kwa nini wakati shangazi yake huna tatizo na mimi wenyewe tunapendana fresh tu!!
 
Last edited by a moderator:
miss chagga
hivi unafahamiana na Chambo81?

Anifahamu wapi sema ananiwekea kauzibe tu kwako kila nikikufungukia na yeye anatia fitina tu ndo maana namwambia ipo siku ataniita uncle ataona aibu siku akiwa anakuja kukutembelea shangazi yake ananikuta nimevimba seating room na taulo langu kiunoni!!
 
Last edited by a moderator:
Anifahamu wapi sema ananiwekea kauzibe tu kwako kila nikikufungukia na yeye anatia fitina tu ndo maana namwambia ipo siku ataniita uncle ataona aibu siku akiwa anakuja kukutembelea shangazi yake ananikuta nimevimba seating room na taulo langu kiunoni!!
povu limekutoka
 
Hahahaaaaa nilipewa ya kweli na apa nipo nae tunapeana mahaba niueee hahahahaaaaaa

Thubutuuuuu wakati hapo alikuwa anamuita zilipendwa wake alomtosaga enzi hizoooo, kibuti raha ukitoe wewe bwana, husninyo alimpa za mbavu now hana muelekeo kamkumbuka tena!!! Na yatakuua kweli usipoangalia, hahahaaaaa wapi Manga ML wangu mie kwa raha zetu.
 
Last edited by a moderator:
Thubutuuuuu wakati hapo alikuwa anamuita zilipendwa wake alomtosaga enzi hizoooo, kibuti raha ukitoe wewe bwana, husninyo alimpa za mbavu now hana muelekeo kamkumbuka tena!!! Na yatakuua kweli usipoangalia, hahahaaaaa wapi Manga ML wangu mie kwa raha zetu.

Hahahaaa utachonga sana yaani mwaka huu lazma nibebe mimba yake nimzalie baby boy.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa utachonga sana yaani mwaka huu lazma nibebe mimba yake nimzalie baby boy.

Hahahaaa yaani umenifurahisha!! Hebu kazana mama nitakusaidia kuchagua jina, si unajua tena mie ndio mweka hazina?
 
Hahahaaa yaani umenifurahisha!! Hebu kazana mama nitakusaidia kuchagua jina, si unajua tena mie ndio mweka hazina?

Sawa baada ya miezi tisa jiandae kumpatia mtoto wetu jina maana mechi niliyocheza na Viol jana duu si mchezo yaan
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom