Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Ooooh hapo sawa, naye atumbukia tuuu chubwiiii bila hata kuangalia kina cha maji!!!
Kakuta parefuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooooh hapo sawa, naye atumbukia tuuu chubwiiii bila hata kuangalia kina cha maji!!!
Hahahahaaa unataka kunichonganisha na mdogo wako?
Ilikuwa halali yake kumnyemelea mrembo Munkari, pia alikuwa single ujue.
Nampenda sana mume wangu Sungura1980.
Napendezwa na Nifah
anti simfahamu huyu kiumbe Chambo81
anti simfahamu huyu kiumbe Chambo81
povu limekutokaAnifahamu wapi sema ananiwekea kauzibe tu kwako kila nikikufungukia na yeye anatia fitina tu ndo maana namwambia ipo siku ataniita uncle ataona aibu siku akiwa anakuja kukutembelea shangazi yake ananikuta nimevimba seating room na taulo langu kiunoni!!
Cc cute b vipi msg ilifail? Au namba ulipewa feki mama?
Hahahaaaaa nilipewa ya kweli na apa nipo nae tunapeana mahaba niueee hahahahaaaaaa
Thubutuuuuu wakati hapo alikuwa anamuita zilipendwa wake alomtosaga enzi hizoooo, kibuti raha ukitoe wewe bwana, husninyo alimpa za mbavu now hana muelekeo kamkumbuka tena!!! Na yatakuua kweli usipoangalia, hahahaaaaa wapi Manga ML wangu mie kwa raha zetu.
Hahahaaa utachonga sana yaani mwaka huu lazma nibebe mimba yake nimzalie baby boy.
Hahahaaa yaani umenifurahisha!! Hebu kazana mama nitakusaidia kuchagua jina, si unajua tena mie ndio mweka hazina?