Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamndenyi
kama ni sumu acha wanipe moyo wenyewe umeshakufa kwa mapenzi hakuna noma kufia mahabani!
Mapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
Hii thread ni ya siku nyingi kidogo nadhani Fixed Point alikuwa bado siyo member wa JF ndo maana sijawahi ku-comment kitu hapa.
Kwahiyo wewe unamzimikia Fixed Point. Ngoja akuje hapa kuthibitisha
hahahahahhha Fixed Point hana shida, atakuja soonAcha uchochezi bana mi...mi sijasema hivo, nikijibiwa vibaya tu....alafu siku yangu ikaharibika lazima nikutafute
mkuu makoyo wahenga wanasema utu uzima dawa na hawa watu wazima ndo wanajua mahaba. vijana hawajui ku care
Some members here i love them a lot...
and some members here i dont like them at all
very boring and time wasting reading anything they write.........