Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani Mkuu ZeMarcopolo, nilikuwa namtahadharisha tu dada yangu Madame B ili kupunguza vikao vya usuluhishi vya ukoo baadae hasa 2015 utakapokuwa unalala kwenye kampeni
Duh! Sikulitambua hilo mapema aisee, haya wee bibie hoe
Madame B, au unavizia viti maalumu? maana in all ways inaonekana Mhe. ZeMarcopolo, atatwaa U-MP 2015
Achana na Mokoyo...labda nae ananifukuzia.
Madame B, hili nalo nenooooo, ila kupambana na vigogo kama akina ZeMarcopolo, ni ishu aisee, I can't
Madame B,
Huyu Mokoyo sijui kwanini anataka kuvitenganisha vitu ambavyo bwana wetu Yesu Kristo ameviunganisha.
Acha woga Mokoyo,noa panga songa mbele
Madame B, hili nalo nenooooo, ila kupambana na vigogo kama akina ZeMarcopolo, ni ishu aisee, I can't
Mzee wangu Bishanga, huyu Mhe. mtarajiwa ZeMarcopolo, kamwekea huyu bibie Madame B, kila aina ya ulinzi, kuanzia mabaunsa, mazindiko na tego. Aendelee tu kufaidi uhondo. Mie hapana
Nashukuru kwa kulitambua hilo.
Haya muache ZeMarcopolo anifaidi.
namzimia The boss...vile anatumia avatar ya denzel Washington na mie namzimia denzel hapa roho kwatu