Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Moderator ni mbaba mainda hivi anaye penda misifa....
Invisible ni kijana wa miaka kama 39 hivi,who is ahead his time (ana IQ kubwa ajabu),
Paw ni baba wa umri wa kati anae penda utani sana,
Roulette ni mama mtu mzima na muislamu safi aliye na ujuzi wa fani zaidi ya moja,
Cookie ni mwoga mwoga hivi,asiye penda discussion na mtu na
Fang ni mkurya aliye jifunzia kiingereza ukubwani.
No.... watu wote uliowataja umekosea
nipejibu
Umesema?.......
you are very right mrcharminglady atakuwa maji ya kunde kiuno nyigu kota la kufa mtu
Bado anasoma na ni mtu wa madisiko sana masai dada huyu ni mjasiria mali hajaolewa lakini anatamani sana maisha hayo
Hapendi mwanaume asiyekuwa na kajina jina na pesa anapenda kuvaa vitenge sana ICHANA huyu ni mtu mzima kati miaka 28 mpaka 30 ni mtulivu kimwonekano ila anapenda sana ngono na umbea wa vibarazani
charminglady atakuwa maji ya kunde kiuno nyigu kota la kufa mtu
Bado anasoma na ni mtu wa madisiko sana masai dada huyu ni mjasiria mali hajaolewa lakini anatamani sana maisha hayo
Hapendi mwanaume asiyekuwa na kajina jina na pesa anapenda kuvaa vitenge sana ICHANA huyu ni mtu mzima kati miaka 28 mpaka 30 ni mtulivu kimwonekano ila anapenda sana ngono na umbea wa vibarazani
Masai dada ni mpole ila hajatulia tulia hivi yan mapepe na anapenda kuongea na kila mtu
Ila sa ivi nimekuwa mkubwa eeh
hahahhahahah
umepatia kiasi naongea kama chiriku
ila sio mapepe sina hata boy mmoko
hahahhahahah
umepatia kiasi naongea kama chiriku
ila sio mapepe sina hata boy mmoko
ila nahisi bado unaliliaga
Kuna kitu nikikitaka hadi naliaga.....