Unahisi ni nyuzi gani hapa JF zinamchekesha sana Rais Samia?

Unahisi ni nyuzi gani hapa JF zinamchekesha sana Rais Samia?

Mama yetu mpendwa, kama utapitia huu uzi usisahau kupita kwenye hii reply. Wana jf wote kwa pamoja tunakupenda sana na kukuheshimu vikali. Sio sisi tu, hata guests wote wanakuheshimu. Sio tu hao, bali watanzania wote kwa ujumla. Tunakuombea maisha marefu yenye baraka. Tutakuwa nawe hata kwenye kipindi chako cha awamu ya pili ya utawala wako, malkia
One love
 
Mama yetu mpendwa, kama utapitia huu uzi usisahau kupita kwenye hii reply. Wana jf wote kwa pamoja tunakupenda sana na kukuheshimu vikali. Sio sisi tu, hata guests wote wanakuheshimu. Sio tu hao, bali watanzania wote kwa ujumla. Tunakuombea maisha marefu yenye baraka. Tutakuwa nawe hata kwenye kipindi chako cha awamu ya pili ya utawala wako, malkia
😳
 
Habari wakuu...

Mama leo kasema huwa anafuatilia sana jf na anasoma maoni yetu hapa jamvini....huwa anacheka sana...

Je?

Unadhani au unaweza guess ni nyuzi gani aua comment gani zinamfanyaga acheke zaidi.....??

Niko paleeeee
@Erythrocyte nyuzi zake namna anawasilisha
Lazima Rais atakuwa anacheka sana

Pia atakuwa anachukua hoja zake na kuzifanyia kazi.
 
Ukute nishawahi kubishana na Rais humu bila kujua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mama popote ulipo upite selfika utupie selfie.
 
Mama anikumbuke na japo ukuu wa mkoa, wa Dar es salaam sita kuwa kama Paul makonda
 
Back
Top Bottom