bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
mchumba tena! Nenda kwa vijana wenzako wako wengi wanatafuta waumeMambo mchumba...🙋♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchumba tena! Nenda kwa vijana wenzako wako wengi wanatafuta waumeMambo mchumba...🙋♂️
One loveMama yetu mpendwa, kama utapitia huu uzi usisahau kupita kwenye hii reply. Wana jf wote kwa pamoja tunakupenda sana na kukuheshimu vikali. Sio sisi tu, hata guests wote wanakuheshimu. Sio tu hao, bali watanzania wote kwa ujumla. Tunakuombea maisha marefu yenye baraka. Tutakuwa nawe hata kwenye kipindi chako cha awamu ya pili ya utawala wako, malkia
Wewe na Fox Fai ndio vijana mwenzangu...😜mchumba tena! Nenda kwa vijana wenzako wako wengi wanatafuta waume
Kataa ndoa [emoji23]Habari wakuu...
Mama leo kasema huwa anafuatilia sana jf na anasoma maoni yetu hapa jamvini....huwa anacheka sana...
Je?
Unadhani au unaweza guess ni nyuzi gani aua comment gani zinamfanyaga acheke zaidi.....??
Niko paleeeee
Must be😂😂😂Labda Bill Lugano
HahahahaVituko vya gest
😳Mama yetu mpendwa, kama utapitia huu uzi usisahau kupita kwenye hii reply. Wana jf wote kwa pamoja tunakupenda sana na kukuheshimu vikali. Sio sisi tu, hata guests wote wanakuheshimu. Sio tu hao, bali watanzania wote kwa ujumla. Tunakuombea maisha marefu yenye baraka. Tutakuwa nawe hata kwenye kipindi chako cha awamu ya pili ya utawala wako, malkia
hahahaKula Tunda kimasihara... Ule Uzi wanaupitia wengi sana ,Viongozi wengi sana wanaupitia ule Uzi.
Tena ukicheza hata Viongozi wakubwa wa kidini, wao wanachungulia
@Erythrocyte nyuzi zake namna anawasilishaHabari wakuu...
Mama leo kasema huwa anafuatilia sana jf na anasoma maoni yetu hapa jamvini....huwa anacheka sana...
Je?
Unadhani au unaweza guess ni nyuzi gani aua comment gani zinamfanyaga acheke zaidi.....??
Niko paleeeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama ukisoma hii thread,please nakuomba U-DAS tu na Mungu atakubariki
HahahaUkute nishawahi kubishana na Rais humu bila kujua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama popote ulipo upite selfika utupie selfie.
Vijana wasumbufumchumba tena! Nenda kwa vijana wenzako wako wengi wanatafuta waume
Nimeacha kubishana na watuHahaha
Utakuwa kama nani?Mama anikumbuke na japo ukuu wa mkoa, wa Dar es salaam sita kuwa kama Paul makonda