connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Wanajamvi Heshima zenu
Je unahitaji kuunganishwa ili kupata mwenzi wako kama Mchumba na baadae Mume au Mke. Tafadhali tuma wasifu wako kupitia DM ukijielezea ** Umri, Umbo lako, Dini, Hobbies, kama una mtoto/watoto (idadi) na unatamani kuunganishwa kwa mtu wa namna gani (sifa za umtakae). Huduma hii ni bure kabisa**. Na tutafurahi kukuhudumia.
ONYO: Baada ya kukuunganisha chukua tahadhari kama vile usikubali kwa mara ya kwanza kukutana na mtu peke yako au sehemu iliyojificha, ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na hela ya akiba kwa ajili ya kinywaji/chakula na nauli just in case.
Asante.
Je unahitaji kuunganishwa ili kupata mwenzi wako kama Mchumba na baadae Mume au Mke. Tafadhali tuma wasifu wako kupitia DM ukijielezea ** Umri, Umbo lako, Dini, Hobbies, kama una mtoto/watoto (idadi) na unatamani kuunganishwa kwa mtu wa namna gani (sifa za umtakae). Huduma hii ni bure kabisa**. Na tutafurahi kukuhudumia.
ONYO: Baada ya kukuunganisha chukua tahadhari kama vile usikubali kwa mara ya kwanza kukutana na mtu peke yako au sehemu iliyojificha, ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na hela ya akiba kwa ajili ya kinywaji/chakula na nauli just in case.
Asante.