UNAHITAJI MUME/MKE au MCHUMBA? sms Wasifu wako

UNAHITAJI MUME/MKE au MCHUMBA? sms Wasifu wako

Nafurahi kuwaarifu toka nianze kazi hii nimefanikiwa kuunganisha pair 5 mpaka sasa. hivyo wenye uhitaji endeleeni kutuma profile zenu. na nitafurahi kuwaunganisha na wale mnaowahitaji. Asanteni

Naomba uchukue profile yangu halafu niunganishe na mdada mmoja kama nilivyoeleza hapo mwanzo, ila naomba umwambie tuwasiliane kupitia e-mail kwanza salimathuman78@yahoo.com
 
Wadau. Tunaendelea vema japo changamoto zah apa na pale hazikosekani. Endeleeni kuleta Profile zenu kupitia namba hiyo hapo.
 
kumbe hujapata?? we connections hufanyi kazi yako ipasavyo mie mpaka huyu akikiri amepata na mie nitatuma profile yangu
Let's start the game.
Nitafutie msichana mwenye sifa hizi

Umri: 23-26
Dini: Muslim, mchamungu na mwenye stara
Elimu: Kuanzia diploma kwenda juu
Rangi: Naamini Mungu hakumkosea mtu, rangi yoyote ile natural.
ila itapendeza asiwe mfupi because I'm a giant one.

Pia napenda sana wasichana wapole.

Sifa zangu sasa
Umri: 28yrs
Dini: Muslim
Elimu: Kuanzia degree kwenda juu
Rangi: White

Kuhusu namba ya simu nitatoa baada ya kujuana vizuri, ila kwa sasa tuwasiliane kupitia
email: salimathuman78@yahoo.com
 
Last edited by a moderator:
Sorry,
Nikitaka mdada wa temporary naweza kupata???
 
Fuateni INSTRUCTIONS umeambia tuma profile kwa sms wewe unataka mimi nikuandikie e-mail. wapi na wapi?
 
kwani lazima kwa cm? Mi nweka yangu hapahapa mi wa dar mjasiriamali, miaka 30 mwanaume, nataka mpenzi, mchumba mke umri wake frm 20-40 vingine vyovyote vile.
 
kumbe hujapata?? we connections hufanyi kazi yako ipasavyo mie mpaka huyu akikiri amepata na mie nitatuma profile yangu

Bado sijapata bwana, nasikilizia miujiza ya Mungu tu hapa, maana kina dada wenyewe siku hizi wamekuwa wagumu kama

nini sijui....ah!
 
Bado sijapata bwana, nasikilizia miujiza ya Mungu tu hapa, maana kina dada wenyewe siku hizi wamekuwa wagumu kama

nini sijui....ah!
connections anakwambia kuwa umekosea maelezo utumee message kwenye namba aliyotoa sio kama ulivyofanya wewe embu jaribu halafu utuambie
 
Last edited by a moderator:
Makubwa.....! Ngoja nilale zangu mie

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Nafurahi kuwaarifu toka nianze kazi hii nimefanikiwa kuunganisha pair 5 mpaka sasa. hivyo wenye uhitaji endeleeni kutuma profile zenu. na nitafurahi kuwaunganisha na wale mnaowahitaji. Asanteni

Kupanga ndoa sio sawa na kupanga wizi usiri wa nini? wewe fungua blog watu watupie mapicha na wasifu kisha uwakutanishe wengi kwa pamoja kwenye hall wapite kwa pea mbele ya makutano na kutongozana live. Wakikubaliana wanatawanyika na hamna kukutana faragha wala kugegeda mpaka siku ya ndoa; hapo ndio ulimwengu ungejua unafanya kitu kilichoenda shule
 
Ndugu Connection yule dada wa Chuo cha Uhasibu Arusha mbona hapatikani tena kwenye simu yake? halfu ushauri tu ndugu usikatishwe tamaa na comments za humu ndani watakuja watu hapa wanaweza hata kukutukana lakini usiwasikilize endelea na kazi yako. Maana humu wamejaa wakosoaji mwanzo mwisho tena ikiwezekana weka ada kidogo ili kuwapata wale walio serious na kukuwezesha upate pesa kidogo ya kununulia vocha kwa ajili ya kuwasiliana na wahgusika pande zote mbili.
 
Ndugu Connection yule dada wa Chuo cha Uhasibu Arusha mbona hapatikani tena kwenye simu yake? halfu ushauri tu ndugu usikatishwe tamaa na comments za humu ndani watakuja watu hapa wanaweza hata kukutukana lakini usiwasikilize endelea na kazi yako. Maana humu wamejaa wakosoaji mwanzo mwisho tena ikiwezekana weka ada kidogo ili kuwapata wale walio serious na kukuwezesha upate pesa kidogo ya kununulia vocha kwa ajili ya kuwasiliana na wahgusika pande zote mbili.

Ameshaweka ada ambayo ni elfu 10.!
 
Ndugu kwa kweli hii ni bonge la creativity u can use kama namna ya kujiongezea kipato badala ya kufanya bure tu.
 
Mkuu spesho acha porojo bwanma achia 3atu watoe ushuhuda wenyewe, napia raha ya kutongoza ni pale mnaongopeana kidogo sasa iyo italeta sana urasmi kuna vionjo vitapungua mambo ya kuwa mme na mke hujileta yeneywe mkishakwaruana.
ila mi siuamini sana huo mradi wako nahisi kama ni kamtego flani, owk pouwa kwa ubunifu mzee.
 
Jamaa anatoza uchakavu wa Tshs 10,000.00 then anasema "huduma hii ni bure kabisa" tena unaitoa kabla hujaunganishwa, sasa ukiuziwa mbuzi kwenye gunia?
Weka wazi mdau," vigezo na masharti kuzingatiwa" japo upate taswira ya mtu unayeunganishwa nae!!:disapointed:
 
Duuh Watanzania ni wazito haswaa kufanya huduma hii bure ndo watu wanasumbua mpaka usiku wa manane Ati mtu anataka mchumba tena anakukaripia utafikiri kakuajiri. Kweli Bure ni balaa labda ningeweka mtu atoe hela kwanza watu wangejiheshimu kidogo.

mkuu tuwasiliane ili tusaidiane kuiweka hii huduma kuwa bora zaidi na iweze kuwasaidia wengi kufikia malengo yao
 
Mtu kama huelewi nyamaza.
Hii bussiness ipo sana na watu wanapata.
Ndomaana kuna datingsites na watu wanaoana..kuna kipindi flani(u can google it)kinaitwa Find Me a man, na vingine kama ivo, sits mbalimbali match.com,christianmingles,yani nyingi mno. Ila kwa asili yetu wa Africa,esp Tanzania kumuweka mtu hadharani kuwa anashida flani ni ngumu sana, so through this its fine,sio mbaya.
Muhimu jisajili uwe msiri haswa na usifanye jambo lolote la kitapeli,trust me utafanikiwa katika hili,u'l make money na watu wengi watafanikiwa kuhusu hili.
Usifanye free,utakuwa cheap na utahisiwa tapeli,tena hela ulivoweka ni sahihi kabisa. Nothin is for free in this selfish world to be honest.
Muhimu usitapeli,ukiwa serious utafanikiwa.
Hapa watu wanakunanga ila wanatamani wangekuwa wao.
:|
 
Back
Top Bottom