zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
chuo cha kupigia sound kinahitajika...watoto wengi sana wanataka kuolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unawapata wapi?
Duuuuuhhhh hii mpya.......HAHAHHAHAHAHAHHAWanajamvi Heshima zenu
Je unahitaji kuunganishwa ili kupata mwenzi wako kama Mchumba na baadae Mume au Mke. Tafadhali tuma wasifu wako kupitia DM ukijielezea ** Umri, Umbo lako, Dini, Hobbies, kama una mtoto/watoto (idadi) na unatamani kuunganishwa kwa mtu wa namna gani (sifa za umtakae). Huduma hii ni bure kabisa**. Na tutafurahi kukuhudumia.
ONYO: Baada ya kukuunganisha chukua tahadhari kama vile usikubali kwa mara ya kwanza kukutana na mtu peke yako au sehemu iliyojificha, ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na hela ya akiba kwa ajili ya kinywaji/chakula na nauli just in case.
Asante.
Kimbokawewe unawapata wapi?
Uzi wa long t.
Tatizo humu wengi hawapo siriaz.