Nafurahi kuwaarifu toka nianze kazi hii nimefanikiwa kuunganisha pair 5 mpaka sasa. hivyo wenye uhitaji endeleeni kutuma profile zenu. na nitafurahi kuwaunganisha na wale mnaowahitaji. Asanteni
Let's start the game.
Nitafutie msichana mwenye sifa hizi
Umri: 23-26
Dini: Muslim, mchamungu na mwenye stara
Elimu: Kuanzia diploma kwenda juu
Rangi: Naamini Mungu hakumkosea mtu, rangi yoyote ile natural.
ila itapendeza asiwe mfupi because I'm a giant one.
Pia napenda sana wasichana wapole.
Sifa zangu sasa
Umri: 28yrs
Dini: Muslim
Elimu: Kuanzia degree kwenda juu
Rangi: White
Kuhusu namba ya simu nitatoa baada ya kujuana vizuri, ila kwa sasa tuwasiliane kupitia
email: salimathuman78@yahoo.com
kumbe hujapata?? we connections hufanyi kazi yako ipasavyo mie mpaka huyu akikiri amepata na mie nitatuma profile yangu
connections anakwambia kuwa umekosea maelezo utumee message kwenye namba aliyotoa sio kama ulivyofanya wewe embu jaribu halafu utuambieBado sijapata bwana, nasikilizia miujiza ya Mungu tu hapa, maana kina dada wenyewe siku hizi wamekuwa wagumu kama
nini sijui....ah!
Nafurahi kuwaarifu toka nianze kazi hii nimefanikiwa kuunganisha pair 5 mpaka sasa. hivyo wenye uhitaji endeleeni kutuma profile zenu. na nitafurahi kuwaunganisha na wale mnaowahitaji. Asanteni
Ndugu Connection yule dada wa Chuo cha Uhasibu Arusha mbona hapatikani tena kwenye simu yake? halfu ushauri tu ndugu usikatishwe tamaa na comments za humu ndani watakuja watu hapa wanaweza hata kukutukana lakini usiwasikilize endelea na kazi yako. Maana humu wamejaa wakosoaji mwanzo mwisho tena ikiwezekana weka ada kidogo ili kuwapata wale walio serious na kukuwezesha upate pesa kidogo ya kununulia vocha kwa ajili ya kuwasiliana na wahgusika pande zote mbili.
Duuh Watanzania ni wazito haswaa kufanya huduma hii bure ndo watu wanasumbua mpaka usiku wa manane Ati mtu anataka mchumba tena anakukaripia utafikiri kakuajiri. Kweli Bure ni balaa labda ningeweka mtu atoe hela kwanza watu wangejiheshimu kidogo.