Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

Distributor ya Nissan Elegrand VG33
IMG-20221025-WA0007.jpg
 
Salaam ndugu zangu, kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.

Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?

Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.

Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .

Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una spare za Bugatti Veyron 3of 5, McLaren senna, McLaren 720s, Kiessnigen, Ferrari 488, Ferrari 488 pista, Ferrari la Ferrari, Ferrari F8 Tributo, Ferrari F8Sterilade?

Pia una spares za Rolls Royce Phantom, Dawn na wrath? Je pia unazo za Pagani Hyria na Zonda?

Nitafurahi kujua kama pia unazo za Lamborghini Perfomante, Lamborghini huracan evo/spyder ba Lamborghini SVJ 900 superturbo horsepower.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!

Robot la Matope
 
Mkuu una spare za Bugatti Veyron 3of 5, McLaren senna, McLaren 720s, Kiessnigen, Ferrari 488, Ferrari 488 pista, Ferrari la Ferrari, Ferrari F8 Tributo, Ferrari F8Sterilade?

Pia una spares za Rolls Royce Phantom, Dawn na wrath? Je pia unazo za Pagani Hyria na Zonda?

Nitafurahi kujua kama pia unazo za Lamborghini Perfomante, Lamborghini huracan evo/spyder ba Lamborghini SVJ 900 superturbo horsepower.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!

Robot la Matope
Hapana mkuu hizo sina
 
Huo ni mswaki wa 1NZ ,
Mteja alikua anatoka Dom kuelekea Masasi
Engine imemfia maeneo ya ikwiriri,
Hapo anatakiwa kesho awahi kwenye mazishi ya ndugu yake kwahiyo hakuna namna inabidi kila kitu kifanyike chap kwa haraka.

Mwamba ndio huyo sasa kwa bodaboda anawahisha mzigo Ikwiriri takribani km 160,
Go and return ni sawa na safari ya Dar to Tanga.

Ndio ametoka mida hii tumuombee afike salama na arudi salama.
20221031_123439.jpg
 
Back
Top Bottom