JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
- #41
BBY ndio engine code.
Ngoja nitafute nitakupa kesho.,
Mkuu, Gearbox ya hiyo Gari ni Tsh. 1,000,000/=. Shipping cost included.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BBY ndio engine code.
Ngoja nitafute nitakupa kesho.,
N ngapi hii,bei yake?
Hiyo Ni N70 bei ni Tsh. 220,000/= mpaka inafika Dar.N ngapi hii,bei yake?
Asante,hivi kwa gari kama Kluger ni betri N ngapi inafaa kuwekwa?Hiyo Ni N70 bei ni Tsh. 220,000/= mpaka inafika Dar.
Hata N150 unawezakuweka kama nafasi ipo, kinachotubana huwa ni nafasi.Asante,hivi kwa gari kama Kluger ni betri N ngapi inafaa kuwekwa?
Asante kwa ushauriHata N150 unawezakuweka kama nafasi ipo, kinachotubana huwa ni nafasi.
Kluger inafunga 55D23L ambayo ni equivalent na N45.
kupata N45 huku kwetu ni kipengele labda kuagiza, Otherwise uweke N50.
Wajapani, kama tu una mjapani anayeuza World wide.Boss naona ni chuma za mzungu tu, sisi wa kijapan tunahusika pia humu au?
Hapana mkuuGearbox mkuu ya prado 2box engine 2L-te..... naweza pata
Ntakuangalizia mkuu,Albabu.. hivi turbo ya yd22dti tunaweza agiza kwa kiasi gani?
Poa kaka.Ntakuangalizia mkuu,
Mkuu, nina swali nje ya mada. Nini dawa ya muungurumo mkuwa wa engine kwenye crown 5speed?Ntakuangalizia mkuu,
Angalieni Exhaust kama kuna shida.Mkuu, nina swali nje ya mada. Nini dawa ya muungurumo mkuwa wa engine kwenye crown 5speed?