JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
- #61
VW engine mounts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuuNtakuangalizia mkuu,
mkipima mnapata code gani?Samahani mkuu
Nina gari yenye 2NZ engine, ukianza kuondoka ipo vizuri ila ukitembea kama kilometa 7 hivi inaanza mlio wa kukoroma kwenye engine na inaanza kuwa nzito, ukiikanyagiza zaidi inawaka check engine ya njano.
Nimekwenda kupima kila inapotokea hivyo zaidi ya mara mbili sehemu tofauti na jibu linakuja oil haifiki vizuri kwenye vvti sensor, wanasafisha pale chini ya vvti kuna sehemu ya kufungua na 'alan kea' (sina uhakika na inavyoandikwa) na kisha tatizo linajirudia.
Muongozo mkuu wangu.
Engine gani?
soma kwenye kadi engine code. Vvti siyo engine
Sawa Bei yakesoma kwenye kadi engine code. Vvti siyo engine
Sasa bei ya nini? Wakati hujanipa engine code?
Aisee kuwa na gar kitu kingine kuijua kingine.unamwambia vvti sio ingine.kama sijakosea ni mfumo unaofanya gar isile mafuta sana.variable valve timing with intelligent. Asome kakibao kama kama silver ataona wameandika engine number au atajuaje aina ya engine yake?Sasa bei ya nini? Wakati hujanipa engine code?
Wazee wa Honda
View attachment 2696352
View attachment 2701149Aisee kuwa na gar kitu kingine kuijua kingine.unamwambia vvti sio ingine.kama sijakosea ni mfumo unaofanya gar isile mafuta sana.variable valve timing with intelligent. Asome kakibao kama kama silver ataona wameandika engine number au atajuaje aina ya engine yake?
Honda fit bushes zipo?
E83 yako ya mwaka gani?...niaje, naweza pata cv joint ya kushoto, master switch ya vioo, kioo cha taa ya mbele ya bmw X3 e83
2005E83 yako ya mwaka gani?
Maana E83 imefanyiwa facelift 2007.
So kuna utofaiti kidogo before 2007 na baada ya 2007.