Comrade Kip
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 230
- 166
wanatumiwa raw materials/ chemicals zinazohitajika. wao wanachanganya tuu kama walivoelekezwaHuu ni uzushi tu.
Sasa kama ni wawili tu wanaojua, hawa wa hapa nyerere road wanatumia compounds zip kuipata coca??? Na wakati hawajui??? Au inashushwa na ndege na kujazwa ktk vyupa???
Watu wa maabara wa hivi Viwanda au Makampuni hutumia mchanganyiko Huo kwa taratibu na viwango vilivyowekwa na Coca-Cola na si vinginevyo
Mkuu sijui kama viwanda vyote vinaheshimu taratibu na viwango vilivyo wekwa na CocaCola, jaribu kununua CocaCola kutoka Supermarkets za Ulaya njoo nayo Tanzania (au nunua Tanzania CocaCola za nje zilizo jazwa kwenye chupa za plastic), nunua CocaCola kutoka Viwanda vya Ndola Zambia sasa linganisha taste zake utaona zina ladha tofauti kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji2] kweli no escapeVitu vyenye siri ndio vitamu we kunywa tu,mbona huulizi sehemu za siri zina siri gani?
Nahisi labda n aina za maji coz hata coca ya bonitte n tofaut kidogo na ya coca kwanza.Mkuu sijui kama viwanda vyote vinaheshimu taratibu na viwango vilivyo wekwa na CocaCola, jaribu kununua CocaCola kutoka Supermarkets za Ulaya njoo nayo Tanzania (au nunua Tanzania CocaCola za nje zilizo jazwa kwenye chupa za plastic), nunua CocaCola kutoka Viwanda vya Ndola Zambia sasa linganisha taste zake utaona zina ladha tofauti kabisa.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Waku, suala la usiri wa formula ya coca cola sio conspiracy theory, ni suala halisi kabisa.
Katika ulimwengu wa 'ushushu wa kibiashara' kuna terminology maarufu inaitwa "Trade Secret"..
Trade secret - ni mbinu au namna ya ufanyaji jambo au mchakato au kifaa au formula au taarifa za siri zinazotumiwa na kampuni husika katika uendeshaji wake biashara au utengenezaji wa bidhaa zake na kuiweka kampuni hiyo katika nafasi nzuri ya kuwashinda washindani kibiashara.
Sasa mojawapo ya 'trade secret' zinazolindwa zaidi ulimwenguni ni viungo (ingredients) zinazotumika kuchanganywa kwenye kinywaji cha Coco Cola na kukifanya kuwa na ladha tofauti na vinywaji vingine vyote duniani. Viungo hivi vya siri vinavyo changanywa kwenye coca cola vinajulikana kama '7X'.
Sasa kampuni mama yenyewe ya coca cola huko marekani wao wanatengeza 'concentrate' yenye viungo hivi na kuwauzia 'bottlers' wenye vibali kutoka kwao kila pembe ya dunia ambao wao wanachanganya 'concentrate' hiyo na maji (carbonated water) na kuongeza kiwango cha sukari na kusindika kisha kuuza kwa walaji..
Ndio kusema kwa mfano, Bonite Bottlers ya Bw. Reginald Mengi wao wananunua concentrate kutoka makao makuu marekani na kuchanganya na maji na sukari na kuuza kwa walaji.
Mfumo huko hivyo Dunia nzima kila unapoiona coca cola.
Wapo 'majasusi' wa kibiashara kwa kushirikiana na wanasayansi wamefanikiwa kucrack hii ingredient lakini bado kitendawili kinabaki kuhusu viwango na namna ya uchanganyaji wa viuongo hivyo.
Ni wafanyakazi wachache sana (wengi husema watu wawili tu) kwa muda husika ndio hupewa siri ya ingredient ya '7X' inayotumika kutengeneza concentrate inayoipa coca cola ladha yake ambayo ni tofauti kabisa na vinywaji vingine vyote na siri hii inabakiwa kuwa moja ya 'Trade secret' inayolindwa zaidi.
The Bold.
Cc: minji, Nifah, kbosho, Adolph Hitler Jr
ninavyofahamu ni kwamba ingredients ni zile zile ila tofauti ya ladha inatokana na maji ya sehemu inapochanganyiwa, so hakuna siri inayolindwa ambayo ni kubwa kama inavyo aminika, kilichopo ni hati miliki ambayo ina sheria kali kwa yeyote atakae copy formular yao, ila ni fikra zangu tu...[emoji3]Unachosema ni kweli kabisa.
Coca-Cola za Atlanta ni tofauti kabisa na Coke za Bonite bottlers.
Hata Fanta orange za bongo ziko tofauti na zilizopo huko zilipoanzia.
Huenda labda hao bottlers huwa wana leeway flani kuendana na soko wanalohudumia.
That's my The bold,Google yangu mimi.Waku, suala la usiri wa formula ya coca cola sio conspiracy theory, ni suala halisi kabisa.
Katika ulimwengu wa 'ushushu wa kibiashara' kuna terminology maarufu inaitwa "Trade Secret"..
Trade secret - ni mbinu au namna ya ufanyaji jambo au mchakato au kifaa au formula au taarifa za siri zinazotumiwa na kampuni husika katika uendeshaji wake biashara au utengenezaji wa bidhaa zake na kuiweka kampuni hiyo katika nafasi nzuri ya kuwashinda washindani kibiashara.
Sasa mojawapo ya 'trade secret' zinazolindwa zaidi ulimwenguni ni viungo (ingredients) zinazotumika kuchanganywa kwenye kinywaji cha Coco Cola na kukifanya kuwa na ladha tofauti na vinywaji vingine vyote duniani. Viungo hivi vya siri vinavyo changanywa kwenye coca cola vinajulikana kama '7X'.
Sasa kampuni mama yenyewe ya coca cola huko marekani wao wanatengeza 'concentrate' yenye viungo hivi na kuwauzia 'bottlers' wenye vibali kutoka kwao kila pembe ya dunia ambao wao wanachanganya 'concentrate' hiyo na maji (carbonated water) na kuongeza kiwango cha sukari na kusindika kisha kuuza kwa walaji..
Ndio kusema kwa mfano, Bonite Bottlers ya Bw. Reginald Mengi wao wananunua concentrate kutoka makao makuu marekani na kuchanganya na maji na sukari na kuuza kwa walaji.
Mfumo huko hivyo Dunia nzima kila unapoiona coca cola.
Wapo 'majasusi' wa kibiashara kwa kushirikiana na wanasayansi wamefanikiwa kucrack hii ingredient lakini bado kitendawili kinabaki kuhusu viwango na namna ya uchanganyaji wa viuongo hivyo.
Ni wafanyakazi wachache sana (wengi husema watu wawili tu) kwa muda husika ndio hupewa siri ya ingredient ya '7X' inayotumika kutengeneza concentrate inayoipa coca cola ladha yake ambayo ni tofauti kabisa na vinywaji vingine vyote na siri hii inabakiwa kuwa moja ya 'Trade secret' inayolindwa zaidi.
The Bold.
Cc: minji, Nifah, kbosho, Adolph Hitler Jr
ninavyofahamu ni kwamba ingredients ni zile zile ila tofauti ya ladha inatokana na maji ya sehemu inapochanganyiwa, so hakuna siri inayolindwa ambayo ni kubwa kama inavyo aminika, kilichopo ni hati miliki ambayo ina sheria kali kwa yeyote atakae copy formular yao, ila ni fikra zangu tu...[emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanawake kama nyie mko wapi jamani hamna shida na pesa ila material tu.That's my The bold,Google yangu mimi.
Naachaje kukupenda sasa?
Am proud of you bae....
Yesssss
[HASHTAG]#TheBoldIsMine[/HASHTAG]
Waku, suala la usiri wa formula ya coca cola sio conspiracy theory, ni suala halisi kabisa.
Katika ulimwengu wa 'ushushu wa kibiashara' kuna terminology maarufu inaitwa "Trade Secret"..
Trade secret - ni mbinu au namna ya ufanyaji jambo au mchakato au kifaa au formula au taarifa za siri zinazotumiwa na kampuni husika katika uendeshaji wake biashara au utengenezaji wa bidhaa zake na kuiweka kampuni hiyo katika nafasi nzuri ya kuwashinda washindani kibiashara.
Sasa mojawapo ya 'trade secret' zinazolindwa zaidi ulimwenguni ni viungo (ingredients) zinazotumika kuchanganywa kwenye kinywaji cha Coco Cola na kukifanya kuwa na ladha tofauti na vinywaji vingine vyote duniani. Viungo hivi vya siri vinavyo changanywa kwenye coca cola vinajulikana kama '7X'.
Sasa kampuni mama yenyewe ya coca cola huko marekani wao wanatengeza 'concentrate' yenye viungo hivi na kuwauzia 'bottlers' wenye vibali kutoka kwao kila pembe ya dunia ambao wao wanachanganya 'concentrate' hiyo na maji (carbonated water) na kuongeza kiwango cha sukari na kusindika kisha kuuza kwa walaji..
Ndio kusema kwa mfano, Bonite Bottlers ya Bw. Reginald Mengi wao wananunua concentrate kutoka makao makuu marekani na kuchanganya na maji na sukari na kuuza kwa walaji.
Mfumo huko hivyo Dunia nzima kila unapoiona coca cola.
Wapo 'majasusi' wa kibiashara kwa kushirikiana na wanasayansi wamefanikiwa kucrack hii ingredient lakini bado kitendawili kinabaki kuhusu viwango na namna ya uchanganyaji wa viuongo hivyo.
Ni wafanyakazi wachache sana (wengi husema watu wawili tu) kwa muda husika ndio hupewa siri ya ingredient ya '7X' inayotumika kutengeneza concentrate inayoipa coca cola ladha yake ambayo ni tofauti kabisa na vinywaji vingine vyote na siri hii inabakiwa kuwa moja ya 'Trade secret' inayolindwa zaidi.
The Bold.
Cc: minji, Nifah, kbosho, Adolph Hitler Jr
Jamii forum ni sehemu yenye watu wa kila aina ,(wadukuzi wa mambo) vipo vitu vingi ambavyo vimepata majibu na pia wengi wamefahamu mengi sana kupitia jamii forum (hongereni wote wanaoshiriki kikamilifu kutoa taarifa mbalimbali hapa JF)
Ila leo ninahitaji tusaidiane katika hili,kuhusu kampuni ya coca cola ambayo ina miaka 130 tangu kuanzishwa kwake (may 08,1886)
Kampuni hii licha ya kuuza kuliko kampuni yeyote ile ya vinywaji hapa duniani ina mambo mengine ambayo ni siri sana naomba kwa mwenye ufahamu wake anaweza kutushirikisha.
Inasemekana kampuni hii licha ya kuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi na kueneka karibia dunia nzima ni watu wawili tu wanafahamu kuhusu utengenezaji wa vinywaji vya kampuni hii.
Nilipata mshituko kuhusu siri hii kipi kipo nyuma ya pazia ,imebidi nije JF kushirikishana juu ya kampuni hii,(japo sina nia ya kuwatangaza vibaya ila ninahitaji kufahamu).
Ntashukuru kwa wote watakaofanikisha hili na kuweka nondo zenye kuhusu kampuni hii.
Zingine huwa zina sukari nyingi zaidi.
Nasema hivyo kwa sababu Coke za bongo ni tamu zaidi kuliko Coke za ATL.
Hata Fanta Orange za bongo ni tamu zaidi kuliko Fanta Orange za ATL.
Sasa sidhani kama maji ndo huongeza huo utamu.
Nadhani ni sukari.
Mkuu hawa wa huku kwetu huwa wanapewa ingredients au simplified recipe na maelezo ya jinsi kuchanganya na kupata soda, ni kama vile ambavyo tulikuwa tukitengeneza "juice cola" majumbani kwetu, unafuata tu maelezo rahisi kwenye label.
hiyo ambayo wanaijua hao watu wawili tu ni product formula. Ni very confidential na ina worth multi billions dollar hivyo siri hiyo haiwezi kutolewa kwa mtu mwengine yeyote kwani ni sawa na kugawa utajiri au kuuza soko lako kwa mtu mwingine.
Na kwa nyongeza tu ni kuwa watu hao hawaruhusiwi hata kupanda ndege moja kwa pamoja ili kuepuka kuwapoteza wote kwa pamoja endapo ikatokea bahati mbaya wakapata ajali.
Nadhani nimesaidia kidogo.
mkuu, jaribu kufikiria hata hapa kwetu ukinywa maji ya mkoa fulani halafu ukaenda kunywa ya mkoa mwingine, utahisi tofauti. sasa kwenye chemical reaction hiyo ni zaidi nafikiri, katika reaction ya chemical drop moja tu hutoa majibu tofauti kabisa. kama nimekosea naomba kurekebishwa..!Zingine huwa zina sukari nyingi zaidi.
Nasema hivyo kwa sababu Coke za bongo ni tamu zaidi kuliko Coke za ATL.
Hata Fanta Orange za bongo ni tamu zaidi kuliko Fanta Orange za ATL.
Sasa sidhani kama maji ndo huongeza huo utamu.
Nadhani ni sukari.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vitu vyenye siri ndio vitamu we kunywa tu,mbona huulizi sehemu za siri zina siri gani?