Unaifahamu vipi CocaCola?

Unaifahamu vipi CocaCola?

Huu ni uzushi tu.

Sasa kama ni wawili tu wanaojua, hawa wa hapa nyerere road wanatumia compounds zip kuipata coca??? Na wakati hawajui??? Au inashushwa na ndege na kujazwa ktk vyupa???
wanatumiwa raw materials/ chemicals zinazohitajika. wao wanachanganya tuu kama walivoelekezwa
 
Watu wa maabara wa hivi Viwanda au Makampuni hutumia mchanganyiko Huo kwa taratibu na viwango vilivyowekwa na Coca-Cola na si vinginevyo

Mkuu sijui kama viwanda vyote vinaheshimu taratibu na viwango vilivyo wekwa na CocaCola, jaribu kununua CocaCola kutoka Supermarkets za Ulaya njoo nayo Tanzania (au nunua Tanzania CocaCola za nje zilizo jazwa kwenye chupa za plastic), nunua CocaCola kutoka Viwanda vya Ndola Zambia sasa linganisha taste zake utaona zina ladha tofauti kabisa.
 
Mkuu sijui kama viwanda vyote vinaheshimu taratibu na viwango vilivyo wekwa na CocaCola, jaribu kununua CocaCola kutoka Supermarkets za Ulaya njoo nayo Tanzania (au nunua Tanzania CocaCola za nje zilizo jazwa kwenye chupa za plastic), nunua CocaCola kutoka Viwanda vya Ndola Zambia sasa linganisha taste zake utaona zina ladha tofauti kabisa.

Unachosema ni kweli kabisa.

Coca-Cola za Atlanta ni tofauti kabisa na Coke za Bonite bottlers.

Hata Fanta orange za bongo ziko tofauti na zilizopo huko zilipoanzia.

Huenda labda hao bottlers huwa wana leeway flani kuendana na soko wanalohudumia.
 
Mkuu sijui kama viwanda vyote vinaheshimu taratibu na viwango vilivyo wekwa na CocaCola, jaribu kununua CocaCola kutoka Supermarkets za Ulaya njoo nayo Tanzania (au nunua Tanzania CocaCola za nje zilizo jazwa kwenye chupa za plastic), nunua CocaCola kutoka Viwanda vya Ndola Zambia sasa linganisha taste zake utaona zina ladha tofauti kabisa.
Nahisi labda n aina za maji coz hata coca ya bonitte n tofaut kidogo na ya coca kwanza.
 
Waku, suala la usiri wa formula ya coca cola sio conspiracy theory, ni suala halisi kabisa.


Katika ulimwengu wa 'ushushu wa kibiashara' kuna terminology maarufu inaitwa "Trade Secret"..

Trade secret - ni mbinu au namna ya ufanyaji jambo au mchakato au kifaa au formula au taarifa za siri zinazotumiwa na kampuni husika katika uendeshaji wake biashara au utengenezaji wa bidhaa zake na kuiweka kampuni hiyo katika nafasi nzuri ya kuwashinda washindani kibiashara.

Sasa mojawapo ya 'trade secret' zinazolindwa zaidi ulimwenguni ni viungo (ingredients) zinazotumika kuchanganywa kwenye kinywaji cha Coco Cola na kukifanya kuwa na ladha tofauti na vinywaji vingine vyote duniani. Viungo hivi vya siri vinavyo changanywa kwenye coca cola vinajulikana kama '7X'.

Sasa kampuni mama yenyewe ya coca cola huko marekani wao wanatengeza 'concentrate' yenye viungo hivi na kuwauzia 'bottlers' wenye vibali kutoka kwao kila pembe ya dunia ambao wao wanachanganya 'concentrate' hiyo na maji (carbonated water) na kuongeza kiwango cha sukari na kusindika kisha kuuza kwa walaji..

Ndio kusema kwa mfano, Bonite Bottlers ya Bw. Reginald Mengi wao wananunua concentrate kutoka makao makuu marekani na kuchanganya na maji na sukari na kuuza kwa walaji.
Mfumo huko hivyo Dunia nzima kila unapoiona coca cola.

Wapo 'majasusi' wa kibiashara kwa kushirikiana na wanasayansi wamefanikiwa kucrack hii ingredient lakini bado kitendawili kinabaki kuhusu viwango na namna ya uchanganyaji wa viuongo hivyo.

Ni wafanyakazi wachache sana (wengi husema watu wawili tu) kwa muda husika ndio hupewa siri ya ingredient ya '7X' inayotumika kutengeneza concentrate inayoipa coca cola ladha yake ambayo ni tofauti kabisa na vinywaji vingine vyote na siri hii inabakiwa kuwa moja ya 'Trade secret' inayolindwa zaidi.

The Bold.


Cc: minji, Nifah, kbosho, Adolph Hitler Jr
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Huyu jamaa ni noma sana
 
Unachosema ni kweli kabisa.

Coca-Cola za Atlanta ni tofauti kabisa na Coke za Bonite bottlers.

Hata Fanta orange za bongo ziko tofauti na zilizopo huko zilipoanzia.

Huenda labda hao bottlers huwa wana leeway flani kuendana na soko wanalohudumia.
ninavyofahamu ni kwamba ingredients ni zile zile ila tofauti ya ladha inatokana na maji ya sehemu inapochanganyiwa, so hakuna siri inayolindwa ambayo ni kubwa kama inavyo aminika, kilichopo ni hati miliki ambayo ina sheria kali kwa yeyote atakae copy formular yao, ila ni fikra zangu tu...[emoji3]
 
Waku, suala la usiri wa formula ya coca cola sio conspiracy theory, ni suala halisi kabisa.


Katika ulimwengu wa 'ushushu wa kibiashara' kuna terminology maarufu inaitwa "Trade Secret"..

Trade secret - ni mbinu au namna ya ufanyaji jambo au mchakato au kifaa au formula au taarifa za siri zinazotumiwa na kampuni husika katika uendeshaji wake biashara au utengenezaji wa bidhaa zake na kuiweka kampuni hiyo katika nafasi nzuri ya kuwashinda washindani kibiashara.

Sasa mojawapo ya 'trade secret' zinazolindwa zaidi ulimwenguni ni viungo (ingredients) zinazotumika kuchanganywa kwenye kinywaji cha Coco Cola na kukifanya kuwa na ladha tofauti na vinywaji vingine vyote duniani. Viungo hivi vya siri vinavyo changanywa kwenye coca cola vinajulikana kama '7X'.

Sasa kampuni mama yenyewe ya coca cola huko marekani wao wanatengeza 'concentrate' yenye viungo hivi na kuwauzia 'bottlers' wenye vibali kutoka kwao kila pembe ya dunia ambao wao wanachanganya 'concentrate' hiyo na maji (carbonated water) na kuongeza kiwango cha sukari na kusindika kisha kuuza kwa walaji..

Ndio kusema kwa mfano, Bonite Bottlers ya Bw. Reginald Mengi wao wananunua concentrate kutoka makao makuu marekani na kuchanganya na maji na sukari na kuuza kwa walaji.
Mfumo huko hivyo Dunia nzima kila unapoiona coca cola.

Wapo 'majasusi' wa kibiashara kwa kushirikiana na wanasayansi wamefanikiwa kucrack hii ingredient lakini bado kitendawili kinabaki kuhusu viwango na namna ya uchanganyaji wa viuongo hivyo.

Ni wafanyakazi wachache sana (wengi husema watu wawili tu) kwa muda husika ndio hupewa siri ya ingredient ya '7X' inayotumika kutengeneza concentrate inayoipa coca cola ladha yake ambayo ni tofauti kabisa na vinywaji vingine vyote na siri hii inabakiwa kuwa moja ya 'Trade secret' inayolindwa zaidi.

The Bold.


Cc: minji, Nifah, kbosho, Adolph Hitler Jr
That's my The bold,Google yangu mimi.
Naachaje kukupenda sasa?
Am proud of you bae....
Yesssss
[HASHTAG]#TheBoldIsMine[/HASHTAG]
 
ninavyofahamu ni kwamba ingredients ni zile zile ila tofauti ya ladha inatokana na maji ya sehemu inapochanganyiwa, so hakuna siri inayolindwa ambayo ni kubwa kama inavyo aminika, kilichopo ni hati miliki ambayo ina sheria kali kwa yeyote atakae copy formular yao, ila ni fikra zangu tu...[emoji3]

Zingine huwa zina sukari nyingi zaidi.

Nasema hivyo kwa sababu Coke za bongo ni tamu zaidi kuliko Coke za ATL.

Hata Fanta Orange za bongo ni tamu zaidi kuliko Fanta Orange za ATL.

Sasa sidhani kama maji ndo huongeza huo utamu.

Nadhani ni sukari.
 
Waku, suala la usiri wa formula ya coca cola sio conspiracy theory, ni suala halisi kabisa.


Katika ulimwengu wa 'ushushu wa kibiashara' kuna terminology maarufu inaitwa "Trade Secret"..

Trade secret - ni mbinu au namna ya ufanyaji jambo au mchakato au kifaa au formula au taarifa za siri zinazotumiwa na kampuni husika katika uendeshaji wake biashara au utengenezaji wa bidhaa zake na kuiweka kampuni hiyo katika nafasi nzuri ya kuwashinda washindani kibiashara.

Sasa mojawapo ya 'trade secret' zinazolindwa zaidi ulimwenguni ni viungo (ingredients) zinazotumika kuchanganywa kwenye kinywaji cha Coco Cola na kukifanya kuwa na ladha tofauti na vinywaji vingine vyote duniani. Viungo hivi vya siri vinavyo changanywa kwenye coca cola vinajulikana kama '7X'.

Sasa kampuni mama yenyewe ya coca cola huko marekani wao wanatengeza 'concentrate' yenye viungo hivi na kuwauzia 'bottlers' wenye vibali kutoka kwao kila pembe ya dunia ambao wao wanachanganya 'concentrate' hiyo na maji (carbonated water) na kuongeza kiwango cha sukari na kusindika kisha kuuza kwa walaji..

Ndio kusema kwa mfano, Bonite Bottlers ya Bw. Reginald Mengi wao wananunua concentrate kutoka makao makuu marekani na kuchanganya na maji na sukari na kuuza kwa walaji.
Mfumo huko hivyo Dunia nzima kila unapoiona coca cola.

Wapo 'majasusi' wa kibiashara kwa kushirikiana na wanasayansi wamefanikiwa kucrack hii ingredient lakini bado kitendawili kinabaki kuhusu viwango na namna ya uchanganyaji wa viuongo hivyo.

Ni wafanyakazi wachache sana (wengi husema watu wawili tu) kwa muda husika ndio hupewa siri ya ingredient ya '7X' inayotumika kutengeneza concentrate inayoipa coca cola ladha yake ambayo ni tofauti kabisa na vinywaji vingine vyote na siri hii inabakiwa kuwa moja ya 'Trade secret' inayolindwa zaidi.

The Bold.


Cc: minji, Nifah, kbosho, Adolph Hitler Jr

Bado hii kitu inapipa wakati mgumu kuielewa - yaani chemical analyser zenye latest technology zishindwe kujua ingredients zilizo changanywa kwenye soda ya CocaCola? Kisayansi ukichukua mls fulani utajua kiwanga cha single ingredient per ml wala hilo si kazi kubwa - unless wakisema labda concentrates hizo uhifadhiwa darini zikiwa kwenye barrels maalum zilizo tengenezwa kwa mbao, stainless steel au Aluminium zinabaki huko kwa miaka minne at a controlled temperature kama Whiskey na Wine hapo naweza kuwaelewa - hiyo ndiyo siri ambayo si raisi kuijua, lakini linapo kuja saula la ingredients hilo ni raisi kuli crack na concentration ya every single ingredient per mole itajulikana tu - kazi hiyo mpe Dk.Magufuli kama hatakupa majibu in no time.
 
Coca-Cola ni kinywaji ambacho sio rafiki kabisa kwa afya zetu,hii sio siri tena.Wanaoendelea kunywa Coca-Cola,Pepsi na vinywaji vinavyofanana na hivyo ni wale wasiojua contents zake au wenye msimamo wa kwamba inzi kufia kwenye kidonda ni sawa.

Kama unataka kujua contents za Coca-Cola tafadhali google hapa,"What chemicals are really in Coca-Cola's Coke Soda.?"
Jamii forum ni sehemu yenye watu wa kila aina ,(wadukuzi wa mambo) vipo vitu vingi ambavyo vimepata majibu na pia wengi wamefahamu mengi sana kupitia jamii forum (hongereni wote wanaoshiriki kikamilifu kutoa taarifa mbalimbali hapa JF)

Ila leo ninahitaji tusaidiane katika hili,kuhusu kampuni ya coca cola ambayo ina miaka 130 tangu kuanzishwa kwake (may 08,1886)

Kampuni hii licha ya kuuza kuliko kampuni yeyote ile ya vinywaji hapa duniani ina mambo mengine ambayo ni siri sana naomba kwa mwenye ufahamu wake anaweza kutushirikisha.

Inasemekana kampuni hii licha ya kuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi na kueneka karibia dunia nzima ni watu wawili tu wanafahamu kuhusu utengenezaji wa vinywaji vya kampuni hii.

Nilipata mshituko kuhusu siri hii kipi kipo nyuma ya pazia ,imebidi nije JF kushirikishana juu ya kampuni hii,(japo sina nia ya kuwatangaza vibaya ila ninahitaji kufahamu).

Ntashukuru kwa wote watakaofanikisha hili na kuweka nondo zenye kuhusu kampuni hii.
 
Zingine huwa zina sukari nyingi zaidi.

Nasema hivyo kwa sababu Coke za bongo ni tamu zaidi kuliko Coke za ATL.

Hata Fanta Orange za bongo ni tamu zaidi kuliko Fanta Orange za ATL.

Sasa sidhani kama maji ndo huongeza huo utamu.

Nadhani ni sukari.

Mkuu hilo ndilo tatizo kubwa la CocaCola za hapa Tanzania, mwanzo nilifikiri hawa watu wanatuima Super Sugar na si industrial Sugar au wanataka ku maximise profit kwa kuweka kiwango kidogo cha CocaCola concentrates na kuongeza sukari lukuki ili wazalishe idadi kubwa ya crate za soda per shift!!

Yaani owners wa CocaCola wakitoka Atlanta na kufanya ziara ya kushtukiza kwenye viwanda vya Coca hapa nchini baadhi yao watavifungilia mbali au kuwanyima franchise - vinafanya usanii sana.
 
Mkuu hawa wa huku kwetu huwa wanapewa ingredients au simplified recipe na maelezo ya jinsi kuchanganya na kupata soda, ni kama vile ambavyo tulikuwa tukitengeneza "juice cola" majumbani kwetu, unafuata tu maelezo rahisi kwenye label.
hiyo ambayo wanaijua hao watu wawili tu ni product formula. Ni very confidential na ina worth multi billions dollar hivyo siri hiyo haiwezi kutolewa kwa mtu mwengine yeyote kwani ni sawa na kugawa utajiri au kuuza soko lako kwa mtu mwingine.
Na kwa nyongeza tu ni kuwa watu hao hawaruhusiwi hata kupanda ndege moja kwa pamoja ili kuepuka kuwapoteza wote kwa pamoja endapo ikatokea bahati mbaya wakapata ajali.
Nadhani nimesaidia kidogo.

Hadithi za alinacha hizi..!
 
Zingine huwa zina sukari nyingi zaidi.

Nasema hivyo kwa sababu Coke za bongo ni tamu zaidi kuliko Coke za ATL.

Hata Fanta Orange za bongo ni tamu zaidi kuliko Fanta Orange za ATL.

Sasa sidhani kama maji ndo huongeza huo utamu.

Nadhani ni sukari.
mkuu, jaribu kufikiria hata hapa kwetu ukinywa maji ya mkoa fulani halafu ukaenda kunywa ya mkoa mwingine, utahisi tofauti. sasa kwenye chemical reaction hiyo ni zaidi nafikiri, katika reaction ya chemical drop moja tu hutoa majibu tofauti kabisa. kama nimekosea naomba kurekebishwa..!
 
Back
Top Bottom