that was my point !! but then you cant employ some one who doesnt know about chemical reaction, especially kuhusu afya ya binadamu[emoji3]Mkuu Vitu vilivyomo umaweza kuvijua maabara kwa kutumia HPLC (High perfomance liquid chromatograph), ila hauwezi kujua exactly formula iliyotumika labda tu upate nearest approximation.
Kumbuka formula ni kitu sensitive sana kiasi kwamba compound yenye Carbon 6 halafu wewe ukaikosea ukaweka carbon 7 basi utakuwa umepata kitu kingine tofauti kabisa.
nakuelewa mkuu, ila piga sayansi ujuavyo lazima kutakuwa na tofauti, kinachokubalika ni safety ya mtumiaji tu, tofauti ya mazingira haikwepeki mkuu, ni fikra zangu tu, karibu kunirekebisha mkuu.Mkuu sidhani kama umekosea au upo sahihi, lakini kuleta factor ya water variation pia sidhani kama ni sahihi.
Kabla ya kutumia yale maji yanafanyiwa Hyper filtration kuondoa/ kupunguza madini yaliyopo kitu kitakayoyafanya yale maji kuwa pure water. Sijawahi kuhakikisha lakini sidhani kama wanatumia distilled water au raw water.
Mkuu kinachofanya taste (ladha) kubadilika au kuwa tofauti ni hii kitu inayoitwa carbonated water pekee hakuna uchawi mwingineMkuu sijui kama viwanda vyote vinaheshimu taratibu na viwango vilivyo wekwa na CocaCola, jaribu kununua CocaCola kutoka Supermarkets za Ulaya njoo nayo Tanzania (au nunua Tanzania CocaCola za nje zilizo jazwa kwenye chupa za plastic), nunua CocaCola kutoka Viwanda vya Ndola Zambia sasa linganisha taste zake utaona zina ladha tofauti kabisa.
Ila ukweli yawezekana unafahamika mbona hivi sasa ladha ya PEPSI ni kama ya coca.....ila mimi neno COCA ninavyofahamu ni lile zao linalozalisha COCAINE yaani madawa ya kulevya na kuna kipindi hayo madawa yalipatikana kwenye kiwanda kimoja cha hizo soda ila sijui hilo sakata liliishia wapi.!!!Adolph japo mimi ndio mwanzilishi ila nipo makini kuzijua hizo siri ila dah naona kama majibu yanafanana
Kalagabaho!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanawake kama nyie mko wapi jamani hamna shida na pesa ila material tu.
Mkuu Vitu vilivyomo umaweza kuvijua maabara kwa kutumia HPLC (High perfomance liquid chromatograph), ila hauwezi kujua exactly formula iliyotumika labda tu upate nearest approximation.
Kumbuka formula ni kitu sensitive sana kiasi kwamba compound yenye Carbon 6 halafu wewe ukaikosea ukaweka carbon 7 basi utakuwa umepata kitu kingine tofauti kabisa.
Awwww!! Sweeeet..That's my The bold,Google yangu mimi.
Naachaje kukupenda sasa?
Am proud of you bae....
Yesssss
[HASHTAG]#TheBoldIsMine[/HASHTAG]
Coca au fanta ya nje aka marikani ukiifungua tuu utahisi kiarufu flani ivi cha kuvutiia izi za bongo full magesi
Mkuu umeambiwa wapo wawili tu, mmoja yupo cocacola na mwingine pepsimbona Pepsi INA Bonge LA ladha ukilinganisha na coca cola?
hawafi?Mkuu umeambiwa wapo wawili tu, mmoja yupo cocacola na mwingine pepsi
Kuna siku nilikuta zmeisha home ikabid nikanunue kwa mangiina alosto iyo noma,.nkiikosa sina ata raha
HahahaaaaVitu vyenye siri ndio vitamu we kunywa tu,mbona huulizi sehemu za siri zina siri gani?
Ni kweli kabisa mkuu. Kuna vitu kama sensory evaluation analysis na customer preferences. Population tofauti zina uwezo tofauti wa ku-percieve na ku-judge stimulus kutokana na factor mbalimbali kama vile mazingira ,jinsia au hata umri.Tafauti ni Maji na sukari inayo changanywa na syrup ya Coca-Cola mfano ladha ya Maji ya Moshi ni tafauti na ya Dar. ndio hapo unaweza u kakuta Coca-Cola ya eneo fulani nitamu sana au ina ladha ya chumvi nk.
Ni kweli kabisa mkuu. Kuna vitu kama sensory evaluation analysis na customer preferences. Population tofauti zina uwezo tofauti wa ku-percieve na ku-judge stimulus kutokana na factor mbalimbali kama vile mazingira ,jinsia au hata umri.
Hivyo basi tofauti ya ladha huwa inategemea na mzalishaji analenga kundi gani la watu au jamii ipi ya watu.
Nikupe mfano rahisi, asilimia kubwa ya watu wa dar wanapendelea maji ya kilimanjaro lakini ukichukua maji hayo hayo na kumpa mkazi wa mbeya atasema hayana ladha nzuri na atapendelea maji rungwe au dew drop, huo ni mfano rahisi tu. Its all about customer satisfaction na market targeting mkuu.