Unaijua Simba? Mnyama…

Unaijua Simba? Mnyama…

xxtycoon

Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
33
Reaction score
67
Ifike muda tukubali kuwa Simba SC ni timu kongwe na bora ila wale wengine ni timu kongwe.

Sasa cha kushangaza leo kwenye pita pita zangu nimeona kuna kampuni ya kubet imeipa odds 20 kama Simba SC watashinda mechi ya leo!

Naombeni mnisaidie kuitaja nimesahau jina!
 
Kama unajiamini Weka pesa ya mtaji iongezeke mara 20.
 
Ifike muda tukubali kuwa Simba SC ni timu kongwe na bora ila wale wengine ni timu kongwe.

Sasa cha kushangaza leo kwenye pita pita zangu nimeona kuna kampuni ya kubet imeipa odds 20 kama Simba SC watashinda mechi ya leo!

Naombeni mnisaidie kuitaja nimesahau jina!
Hela hizo changamkia
 
Ifike muda tukubali kuwa Simba SC ni timu kongwe na bora ila wale wengine ni timu kongwe.

Sasa cha kushangaza leo kwenye pita pita zangu nimeona kuna kampuni ya kubet imeipa odds 20 kama Simba SC watashinda mechi ya leo!

Naombeni mnisaidie kuitaja nimesahau jina!
Kampun gani hiyo niweke hela ya kodi
 
Hawa gal sports wameipa 25
Screenshot_20231024-090928.jpg
 
Kama kweli simba ni mnyama, basi leo jioni lazima atachinjwa tu, na kuliwa nyama na Waarabu.
 
Back
Top Bottom