xxtycoon
Member
- Jan 3, 2023
- 33
- 67
Ifike muda tukubali kuwa Simba SC ni timu kongwe na bora ila wale wengine ni timu kongwe.
Sasa cha kushangaza leo kwenye pita pita zangu nimeona kuna kampuni ya kubet imeipa odds 20 kama Simba SC watashinda mechi ya leo!
Naombeni mnisaidie kuitaja nimesahau jina!
Sasa cha kushangaza leo kwenye pita pita zangu nimeona kuna kampuni ya kubet imeipa odds 20 kama Simba SC watashinda mechi ya leo!
Naombeni mnisaidie kuitaja nimesahau jina!