Unaikumbuka Brazil hii ya mwisho kubeba Kombe la Dunia?

Unaikumbuka Brazil hii ya mwisho kubeba Kombe la Dunia?

There hasn't been a king without a crown.[emoji16] [emoji16] [emoji16]

Sio sababu ustazi. Mpaka imefikia wakampa ufalme huyu kiumbe sio kazi rahisi bwana,,na ni maprofessional wanaoujuwa mpira haswaa tena mara milioni zaidi yetu.so sio wajinga.
 
gangchomba where are you malaika wanashangilia wiki moja kabla ya mechi uwiiiii gaucho weeeeee au ndio ule uzao wa Abraham!
 
Captain Cafu, Ronaldinho anaiua England, Rivaldo anaipiga Belgium, Denilson anafanya manjonjo yake dk za mwisho, Ronaldo anaiua Germany...Beki mwenye mashuti makali Robert Carlos...Brazil ilikuwa vzr..ikapotea ngoja tuone hii ya mabrazameni nayo.
 
Namkumbuja hapo Adrian, Cafu, Ricardo, Lucio, Ronaldinho, mze wa kiminyio Ronaldo, nk
 
nakumbuk nilikuw dep JWTZ NAKUMBUK MAMBO YA ROBART CALOS NA RONAD D LIMA WATU HATARI XANA
 
anamkaanga gemany 2 bila zote za mzee mzima de lima halafu michael ballack hakucheza hii game
 
Lucio beki ya Bayern Munich na Emerson...nimewakumbuka
Alikuwa Bayer Leverkusen 2002 kabla ya kuhamia Beyern Munich. Alingara Sana mwaka huo walivyofika fainali UEFA champion league akiwa Na Michel ballack walipokutana Na real Madrid ya zidane Na Figo. Real Madrid iliibuka mshindi Na Lucio alichaguliwa timu ya Taifa Brazil chini ya kocha Scolari.

Kikos Cha Brazil 2002 roberto Carlos, Ronaldo de lima, cafu, denilson, rivaldo, Lucio, Na Ronaldinho dah gaucho haitawahi tokea
 
Hii bi Brazil ya mwaka 2002, unakumbuka wachezaji gani kikosini? Ulikuwa wapi wapi wakati Captain Cafu akiinua ndoo ya ubingwa?
2002-world-cup-brazil-all-7-dvd-matches-ronaldo-rivaldo-5681.jpg
Huyo Aliyeva jezi namba Sita alipiga Faulo akiwa katikati ya Uwanja Na ikazama ndani.Nadhani walicheza Na China.Miguu hiyo ilikuwa inanguvu sio mchezo
 
Back
Top Bottom