Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipokuwa obay pale alikuwa mjivuni sana huyohivi christopher bageni bado yupo ndani??
Mimi najua ya Abdallah MwamwindiOkay Mimi najua ya Sarah simbaulanga ......
Ingependez ungetupa n iyo y Sarah simbaulanga...Okay Mimi najua ya Sarah simbaulanga ......
Ipoje share kidogoMimi najua ya Abdallah Mwamwindi
Acha afie jela kabisaAlipokuwa obay pale alikuwa mjivuni sana huyo
Ova
Ya simbaulanga Kuna story yake humu nashindwa kueka link ipo humu humu jfIngependez ungetupa n iyo y Sarah simbaulanga...
Lipo lililobadilika mkuu, siku hizi hata mahakanani hawapelekwiHakuna lililobadilika likija swala zima la unyang'anyi wa Polisi kwa raia na kuishia kuwaua takriban miaka 19 baadae.
hata kama walitoka hawata semahivi christopher bageni bado yupo ndani??
KaribuThank you...... Ngoja. Nikaichek baadae
toroha ni muhuni sanaYa simbaulanga Kuna story yake humu nashindwa kueka link ipo humu humu jf
Ila alikuwa manager if not supervisor kwenye foreign branch NBC bank na kukwapua usd traveller cheques equivalent to Tzs millions 500+ kwa kipindi hiko nadhani 1987-1989
Akiwa na jamaake Toroha, na kukimbilia Nairobi Kenya then mpk ulaya baadae walipatikana na kuamriwa warudishwe Nairobi Kenya then serikali ya Tz ikawachukue mpakani na kurudishwa Dsm Tz na kuanza kwa kesi yake Sarah
Kabisa. Wanaitwa watu wasiojulikana.Lipo lililobadilika mkuu, siku hizi hata mahakanani hawapelekwi
Very interesting aiseMimi najua ya Abdallah Mwamwindi
shukrani uzee unachangiaMkuu shukrani kwa kutukumbusha lakini majina umekosea. Zombe jina lake la kwanza ni Abdalah, Christopher ni jina la mtuhumiwa mwingine anaitwa Christopher Bageni (nakumbuka kama huyu ndiye mtuhumiwa pekee aliyetiwa hatiani baada ya Serikali kukata rufaa). Pia majina ya wafanyabiashara sio sahihi. Nakumbuka kati ya watu wanne walikamtawa na hatimayr kuuawa kuna wawili walikuwa ni ndugu sikumbuki majina yao ya mwanzo lakini wote majina yao ya pili yalikuwa ni Chigumbi. Walikuwa na mwenzao mmoja halafu wa nne alikuwa ni dereva taxi aliyekuwa anawaendesha kwenye mizunguko yao.
Nishawahi kuwaga na msala nayeAcha afie jela kabisa
Ntaichek nitaleta mrejesho keshoKaribu